Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
HYo neti kwasababu wanalala malindoni kujilinda na mbuLaki sita net
Kula mtu anakula anachotaka familia zetu za kimasikini kwenye familia labda yeye ndio katoboa ana wadogo zake wapo shule kuna watoto wake wapo shule wote wanamtegemea yeye bado unataka akale selina hotel mchana kwa faida ya nani? Tz mtu mwenye pesa ni mfanyabiashara tuKama ni ivyo tusingekua tunakula nao wali maharage wa 1500/-kwa mama Kdija kila siku
Dah! Wewe mkorofi sanaLaki 4 take home
π€£π€£π€£ Ndo yetu walimuπ€£π€£π€£π€£πDah! Wewe mkorofi sana
Hahahaπ€£π€£π€£ Ndo yetu walimuπ€£π€£π€£π€£π
π€£π€£π€£π₯΄Hahaha
Tushajizoelea siye...na ambavyo walimu hamtupendiπHahaha
Iyo nakataaaKila siku wanagongea tuwanunulie bia huku kitaa. Kifupi wananjaaa sana lakini walivyo serious kukamata wapinzani utafikiri wao hawana shida
Labda unabishie uzoefu tu. Halafu ukiwanyima bia hawakawii kukutengenezea kipindi ili wakukomoeIyo nakataaa
Ishakutokea sioLabda unabishie uzoefu tu. Halafu ukiwanyima bia hawakawii kukutengenezea kipindi ili wakukomoe
SafiIyo nakataaa
Buku jeroWasalaam
Kwa jinsi police wanavyojituma kukamata viongozi wa upinzani na kuwafungulia kesi mbalimbali ni dhahiri wanalipwa pesa nyingi sana na serikali ya ccm. Naomba kwa mwenye kujua anijuze hawa wana usalama wa ccm wanalipwa kiasi gani kwa mwezi?
Sana tu π π π hao sio watu aiseeIshakutokea sio
Pole sana mzee siwez wasemea watakuja jisemeaSana tu π π π hao sio watu aisee
Nasikia askari walilaaniwa baada ya kumsurubu yesu masihiMtengenezee mazingira mazuri apate kazi unayotaka wewe afanye