GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Wana Yanga SC tumetinga Group Stage ya CAFCL na tunatumiana tu Clips za Magoli yetu hebu tuwaombe pia na Wenzetu nao watutumie Clips za Magoli yao yaliyowapeleka Kibahati Makundi CAFCL kama Sisi" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe.
Huu utani Umenimaliza kweli kweli kwani ni wa Ukweli na kila nikiukumbuka najikuta Ninacheka tu.
Huu utani Umenimaliza kweli kweli kwani ni wa Ukweli na kila nikiukumbuka najikuta Ninacheka tu.