Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine ๐Ÿท, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16ยฐC

Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine ๐Ÿท, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16ยฐC

Yaani[emoji849]wacha tuendelee zetu
Cheers[emoji1635]
20230304_175855.jpg
 
Mtoa mada hiyo ni hali ya kawaida sana, kitaalamu ini linapoanza kuchakata pombe uliyokunywa joto huongezeka kwahyo mwili unatengeneza njia ya kupunguza joto hilo na hulitoa kwa njia ya jasho

Binafsi huwa natumia sana hiyo cocktail yako na huwa nina experience the same...kikubwa jitahidi kunywa maji mengi
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16ยฐ Centigrade.
Kunywa zaidi,body temp itapungua yenyewe, afu try gongo ni nzuri pia
 
Ni hali ya kawaida hiyo wala isikutishe. Hapo inadhibitisha jinsi mwili unavyorespond positively with internal environment. Hupaswi kua na wasiwasi maana ini, figo n.k vinachapa kazi sawasawa.
 
Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.

Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.

Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16ยฐ Centigrade.
Tatizo hapo sio pombe. Tatizo ni wewe na akili yako
 
Back
Top Bottom