To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mi pombe siiwez...nadhani uoga unachangia๐๐๐๐๐ Teacher acha uoga bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi pombe siiwez...nadhani uoga unachangia๐๐๐๐๐ Teacher acha uoga bhana
Siku nikija Mbeya mitakutafuta nikufundishe ya kuanza nayo ๐ ๐Wewe ujasiri wako wote Ile jaman!Mi pombe siiwez...nadhani uoga unachangia
Nimewahi kunywa dompo nikaanza kumpapasa dudu aliyeninunulia.Kiufupi pombe sizitaki dearSiku nikija Mbeya mitakutafuta nikufundishe ya kuanza nayo ๐ ๐Wewe ujasiri wako wote Ile jaman!
Kwahyo ukinywa tu zinahamia chini..Nimewahi kunywa dompo nikaanza kumpapasa dudu aliyeninunulia.Kiufupi pombe sizitaki dear
๐คฃ๐คฃ๐คฃNini nawe๐ ....haya..nikampiga mate๐คญKwahyo ukinywa tu zinahamia chini..
Malizia bas ulipomshika nn kiliendelea
Cheers[emoji1635]Yaani[emoji849]wacha tuendelee zetu
Malizia bhana baada ya kumpiga mate ukampiga nn tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nini nawe[emoji849] ....haya..nikampiga mate[emoji2960]
Cheers ๐ฅ๐ฅCheers[emoji1635]View attachment 2536761
Kunywa zaidi,body temp itapungua yenyewe, afu try gongo ni nzuri piaNapenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16ยฐ Centigrade.
๐คฃ๐คฃNiache bhanaMalizia bhana baada ya kumpiga mate ukampiga nn tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo To yeye ? Nna dompo yako hapa city pubNimewahi kunywa dompo nikaanza kumpapasa dudu aliyeninunulia.Kiufupi pombe sizitaki dear
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คธ๐คธ๐คธ......๐ณWeee, usiniambie?
Tena ya baridi baridi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732]......[emoji15]Weee, usiniambie?
๐ค
Tatizo hapo sio pombe. Tatizo ni wewe na akili yakoNapenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine [emoji485] kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty.
Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa.
Ila problem ninayookabiliana nayo ni kwamba nasweat sana usiku kucha hata nikiweka AC nyuzi joto 16ยฐ Centigrade.
Tuimwagilie moyo nafasi ikiwepo๐๐I do know ooo sikuachi kwa nini!?
Unaelekea kubaya sanaSiku hizi nakunywa konyagi kama bea, dah maisha haya! Yaani naagiza then nanywea mumo humo kwenye chupa kama bia.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ UmenichekeshaUnaelekea kubaya sana