Napenda sana mademu ila siwapati

Hawa mademu zako inaoneka standard zao zipo chini ndiyo maana unacheza na hisia zao
Nipe namba ya Demu wako au mkeo wako, unayemuamin kwelikweli .

Alafu USIMWAMBIE chochote, Mimi nitamtafuta, nitakua namrekodi simu na Sms , nitascreenshots , niweke hapa mbele ya Wana JF.

Ndo utaeelewa, Mwanamke ni mwanamke haijalishi ni msomi wa kiwango gani au ana Pesa kiasi gan. Au ni maarufu kiasi gan.


Unalopaswa kujuaz Mwanamke hata kama awe na Standard gani, ANAKUHITAJI WEWE UMUENDESHE ,UMUONGOZE UMPELEKE MCHAKAMCHAKA , UKIMNYENYEKEA MWANAMKE, UMEMPA UWEZO WA KU EXERCISE FEMININE POWER YAKE,,,, AKIFIKIA HAPO,, ATAKUCHUNA WEE NA KUMPATA HUMPATI.


HAWA VIUMBE SIO MALAIKA.
 
I
Ile kimasihara ya Jana vipi
Mbona hujatuletea imeishaje 😄
 
Hatimaye Simba kashinda.

Kesho naiti naichapa Mbususu ya Sista Duuuuu !!


Labda mambo yaharibike saaaana "JK voice"
 
Kwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
Unahela mkuu?
 
Mtu anaandika xaxa, xjui🤣🤣🤣🚮
Unaweza ku withstand my effect kwako?.


Huwa nawacheka sana na kuwadharau na Maneno yenu ya kujipa moyo.


Endeleen kutongozwa na mahoe hoe, hao ndio wanawapa nafasi ya kuwazungusha🤣.

Mwanamke ni mwanamke, katika Lugha yake, usishangane, nikawa nakuita "My "..na yeye anajibu "My".... Na unakuta ni msomi kabisa !!.
 
HAWA VIUMBE SIO MALAIKA, HIVYO NAMBA ZA MADEMU ZANGU KWA KWELI SIWEZI KUKUPA..

ILA WANAWAKE NI WETU SOTE HUWEZI JUA SOMETIME TUNA SHARE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…