Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Kibunda unacho? Tuanzie hapoKwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibunda unacho? Tuanzie hapoKwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala
Vitu ni vingi. Dawa ya meno. Dawa ya kuchukuchua mdomoni. Shampoo. Shower gel. Sabuni ya kawaida. Deodorant. Body spray. Perfume. Mafuta ya nywele.wanatuchanganya bana mara watuambie ukipaka deoderant haudindi😂
Age is just number😄😄 una umri gani?
Mimi ndio natumia hizi. Sina kwapa nyeusi labda inachagua maana kuna wengine wanasema wanatoka vipeleHizi mbayaaaaa
Vikwapa vitakuwa vyeusiiii
NoAge is just number
Ngumu vipi si unataka kukata kiuHiyo ni ngumu
Oyaaaa nimeletewa juzi. Niipige chini?Hizi mbayaaaaa
Vikwapa vitakuwa vyeusiiii
🤣🤣🤣 pole ndugu yangunikipaka deoderant nakua mvivu kuoga wallah
bora nioge tu kila siku ntajiona msafi zaidi😂
Upele sijawahi sikiaMimi ndio natumia hizi. Sina kwapa nyeusi labda inachagua maana kuna wengine wanasema wanatoka vipele
Hii inaonekana yechu sana❤️😌. 72h😋😘
Nitumie ipi sasa😢?Upele sijawahi sikia
Kwenye kubagua yawezekana.
Ila with time lazima ka kikwapa kataweka weusi nakwambia.. inawatenda watu wengi hivyo.
Kuna Dem nilikuwa napiga ashaniletea kama hizoUongo😂, tumia moja kati ya hizo
Honestly I do recommend & prefer forever living.. elf 20 tu. Tena Dar yaweza kuwa cheap.
Ngoja niitafute iyo ulioitaja..Honestly I do recommend & prefer forever living.. elf 20 tu. Tena Dar yaweza kuwa cheap.
Katika watu 100, 70 wanapata weusi baada ya kutumia kwa muda mrefu.
Mwambie aingie kwenye huu uzi apate connection za wadau ajilie mema ya NchiKupata demu ni rahisi sana kuliko kupata mke, inakuaje unakosa demu mkuu..
Ilitakiwa ukose mke.
SawaEmbu ongea kwa loud speaker watakusikia
#moneybyallmeans