Napenda sana mademu ila siwapati

Sana aisee, ila nikiwa Arusha nakuwaje Soft. Huku Dar ndio hakunipendi tu jamaniπŸ˜’πŸ˜‚
Kila mtu na ngozi yake.
Kuna wakati tulikuwa Makutupora Dom... nilitakata na hali ya hewa, ila wengine walifubaa hatari.
Na Arusha heri baridi, pakiwa na jua linasumbua pia.
 
Kila mtu na ngozi yake.
Kuna wakati tulikuwa Makutupora Dom... nilitakata na hali ya hewa, ila wengine walifubaa hatari.
Na Arusha heri baridi, pakiwa na jua linasumbua pia.
Kabisa, ila ngoja nione hii palmers itanifikisha wapiπŸ€”.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…