Napenda sana mademu ila siwapati

Napenda sana mademu ila siwapati

Kuna kakitu ka usoni tu
Kazuri
Kuna wakati nilikatumia
Aloo ngozi inakuwa km ya mtoto

Kanauzwa 160K.
Na ni kadunchuuuuu

Km sio slay queen mambo mengine yapitege tu 😂😂
Mashangazi hatuna mambo mengi
kanaitwaje?
 
Kwema ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa napiga sana mademu verse lakini naambulia vibuti, sijui tatizo Nini wakuu hebu nipeni mbinu mbadala

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh noma..

Wakati mwenzio Kuna Pisi Ijumaa imekuja Hosp kusalimia Mgonjwa wake

Pis Pisi kweliii , toto ya kinyaturu na Kihaya, nyeupee, sura nzurii takoo na guula Kihaya.

Nikaisemesha tu.

Muda Huu naandika hapa, Nmeishapiga bao moja, sahizi inajipikilisha geto!!.


Yaan Kuna kazi zina malupulupu mengi😅😅😅
 
Back
Top Bottom