Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kuniambia wameiga wazungu, harafu unakuta wanashikashika zile nywele zetu ngumu zilizolainishwa na madawa ya saloon na kuziteremsha kama wafanyavyo wazungu, harafu chini kapiga kimini na viatu vya kisigino kirefu fully ku-igiza kizungu teh! teh!Wanawake wengi wa kikristoa wanepanda kukaa uchi kama barmedi.
Kwani we unamwonaje yule mama, umeona lile jicho lakini? We acha tu ni vile uwezo hakuna.hivi mama samia suluhu ye mbona hasifiwi?
Nimekuelewa Kaka....UPO SAHIHI KABISA KATIKA POINTS MBILI,
1) Kwanza ni Ukweli ulio wazi kuwa wanawake wa kiislamu wanavutia sana wanavyovaa kiheshima...dah na zaidi ukikuta kaumbika na wezere lipo.
Mfano yule dada wa Shear Illussion sio siri she complete me coz hela ipo...uzuri upo na bado hana dharau.
2) Waislamu wengi walioshika dini haswa huwa hawana Maringo na Dharau. Unaweza kukuta ameinvest vya kutosha ila anaishi very normal life...unamkuta mrembo ofisini anakusikiliza na kukuhudumia bila mapozi ya kiboya.
NB: Ifahamike tu kuwa UISLAM sio MAVAZI pekee, ni imani na maisha kwa ujumla wake.
Shukraan,
Mabinti wengi sana wa kikristo wanavaa hivyo sikuhizi.Mkuu badili dini. Au na wewe jaribu cku kuvaa uone kama hutasifiwa.
AVE MARIA, kavaa hivyo pia...asanteMkuu umepotea sana jamvini,
mQuran (neno) la MUNGU , ndilo linasema hivyo anaambiwa NABII WETU , WAAMBIE WATU WA NYUMBANI KWAKO WATEREMSHE SHUNGI ZAO, WAJISTIRI. tafuta watu wakusaidie kuliona andiko hilo kwenye kitabu kitukufu cha QURAN, sio utamadubi bali ni agizo la M/MUNGU kupitia kwa mjumbe wake.Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.