Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.

Waarabu wengi n dini gan?na uislamu umeanziawapi ?mambo yte ya stara yameelezwa vzr kwnye quraan na nd kitabu cha muongozo kwa waislam wote duniani awe muarabu au muafrka
 
Mnapost watangazaji wa aljezera na tv za kiarabu angalia sana veve. Ila ni mtazamo tu..
 
Na masista pia wanashusha shungi zao kiheshima kabisa na mapadri wanavaa kanzu inashangaza pia mkisema makanzu na mashungi ni vazi la kiislam au kiarabu!
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Kasome Quran kuhusu sitara ya mwanamke utaelewa vizuri mkuu. Kanzu ndio utamaduni wa kiarabu lakini hijabu au mtandio ni utamaduni wa kiislamu na sio utamaduni wa mwarabu.
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.
So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.

kaka nimeona umepata "likes 5",hao waliokupa hizo "likes" tano wako kama wewe nyote mna ukosefu wa ufahamu na hamjui nini mnachoongea,Katika Kuran tukufu suratil Nisai(sura ya wanawake),imeandikwa kwa ufasaha vipi mwanamke wa kiislam wanatakiwa avae mavazi yao,kwa mantiki hiyo Warabu ndio wameiga mavazi ya kiislam,,,

Unatakiwa ujue kuwa Mtume Mohammad(saw),siku chache karibu ya kufa kwake aliwaita waislam akawahutuibia na kuaambia kuwa hana muda mwingi wa kuishi duniani siku zake za kuondoka duniani zimekaribia lakini nimekuachiane dini iliyo "kamilika",

Neno "Kamilika" lina maana kubwa,kitu kikiwa kimekamilika maana yake hakina haja ya kuongezwa chochote,,maana yangu ni kuwa dini ya kiislam na kitabu chake cha kuran kinafundisha kila kitu kuanzia vipi waislam wasalimiane,wakitaka kufanya mapenzi wafanye nini,wakenda chooni wafanye nini,ukipita njiani umemkuta mtu kaa umwambie nini nakadhalika,jirani yako umfanye nini nakadhalika,nakadhalika..

Warabu waliokuwa waislam na wasio wailasm ndio wameiga utamaduni wa waislam,Uislam ndio uliowaletea ustaarabu warabu,ningekuomba fanya utafiti kabla kuandika usichokijua,

siku hizi ni rahisi kufanya utafiti ni rahisi kila kitu kiko kwenye Internet,ingia kwenye google utapata kila unachokitafuta..,

Kama unaweza kusoma english na kufahamu bofya hapa kuran sura (24:31,33:59)hizi vile vile ni moja ya aya zinazofahamisha vipi mwanamke wa kiisalma anatakiwa avae mavazi yake
 
Dini zimeleta na tamaduni za hao walioleta dini hiyo.

Hijabu si tamaduni ya kiarabu tu bali hata kiyahudi, kihindi na sehemu zingine duniani.

Picha ya Bikira Maria ni mfano mzuri wa wanawake alivaa Hijabu,
Hakuna picha halisi ya Bikira Maryam wala Yesu, picha zote ni za kutunga na ni za uzushi kabisa.
 
mimi ni mvaaji mzuri wa kistaarabu kama madera bila kuyabana na mitandio ,baibui na napenda sana
ni mkristo pia
hayo ni mavazi tu ..yoyote anaweza kuvaa
Dada umekosea hayo si mavazi tu,dini ya kiislamu kutoka kuran sura 24:31 imeeleza vipi mwanamke wa kiislam anatakiwa avae,katika dini ya kiislam ni dhambi kubwa kuongea au kupunguza chochote kile,hamna kubahatisha katika dini ya kiislam
 
View attachment 354866
View attachment 354867
Habari wadau..

Kiukweli mimi ni mkristo..

Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii

Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..

Unamkuta mdada kashuka kwenye range lake na hijab yake...

na hata akivaa suti au formal dress la ofisini.. akipiga na ushungi wake anapendeza sana..

yaani unaona tofauti kubwa sana kati ya mke wa mtu wa kiislam na wa kikristo..

Mtu baba ana oil com, lake oil, home shopping na mabiashara mengine makubwa makubwa lakini ana staha.. hana dharau.. dress code ya heshima tele hadi unatamani awe wako..

Ila ukute mambo safi wa dini yetu..

Hicho kiminii.. kikuku na nyodo ofisini..

Hayo mavazi ni kama anashiriki umiss


Waislamu japo mna mapungufu yenu ila kwenye dress code ya wanawake mpo juu sana..

Kuna tofauti kubwa ya mavazi ya mwanamke aliyeolewa wa kiislam na kikristo..

Hata kumtongoza kipuuzi puuzi mtu unaogopa mavazi yake tu yalivyo mpa heshima kubwa...
ila kwa hiyo picha ya pili umezingua....mkuu....
 
inaoyesha unapenda sana weupe....kwani weusi walio pendeza hawapo?
 
Ndio ma-sister kanisani wanavaa shungi kichwani maana wanajua nn unuhimu wa kujisitiri ila Leo Rose chakupewa ukivaa shungi n nguo ya kujisitiri unajiona huoendezi adi uvae uchi
 
bf0442b970010d82f746729fcb55f263.jpg
53429ce8ba90d19f9db3546e1b1a6541.jpg
 
Back
Top Bottom