Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

mQuran (neno) la MUNGU , ndilo linasema hivyo anaambiwa NABII WETU , WAAMBIE WATU WA NYUMBANI KWAKO WATEREMSHE SHUNGI ZAO, WAJISTIRI. tafuta watu wakusaidie kuliona andiko hilo kwenye kitabu kitukufu cha QURAN, sio utamadubi bali ni agizo la M/MUNGU kupitia kwa mjumbe wake.
Swadaktaa!, shukran kwa ukumbusho.

Sent from my Hol-U19 using JamiiForums mobile app
 
Mashallah sio siri wanapendeza sanaa,ni mavazi ya heshima na stara regardless umri
 
"Ewe mtume(muhammad s.a.w)waambie watu wa nyumba yako pamoja na wanawake wote wa wakiislam washushe shungi zao(wajistiri) kwani kwa kufanya hivyo hawata udhiwa"yaani hawata pata maudhi
Haya ni maneno ya allah subhanna wataalaah kutoka katika kitabu kitukufu cha qur-an
 
Hata mimi yaani hadi wakati mwingine natamani mwanamke nitakaye muowa awe muislamu , awe na dini yake ya uislamu na mimi yangu bilakubadilisha dini
 
WAKORINTHO 11:5-7

PAULO ANASEMA:

5. Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa, yuaaaibisha kichwa chake kwamaana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.

6. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele, lakini ikiwa ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa basi afunikwe.

7. Kwa maana kweli haimpasi Mwanaume kufunikwa kichwa kwasababu yeye ni mfano wa utukufu wa Mungu, bali Mwanamke ni utukufu kwa mumewe.
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Sio waarabu bali uislam ndo unaamrisha wanawake wavae vile wajitande....so nashauri ungeuliza wanaojua kwanza ndo useme ndugu
 
Stara haina uislam wala mkristo bali ni kwa watu wote kujipenda na kutambua thamani ya miili yao.....
1c2a4e6382c535109ae5585cbcced93d.jpg
16e5931549fdbdd5ea20800de1a1c164.jpg
e3e34a6f33c7d6ca9e38d03ac111da38.jpg
 
WAKORINTHO 11:5-7

PAULO ANASEMA:

5. Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa, yuaaaibisha kichwa chake kwamaana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.

6. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele, lakini ikiwa ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa basi afunikwe.

7. Kwa maana kweli haimpasi Mwanaume kufunikwa kichwa kwasababu yeye ni mfano wa utukufu wa Mungu, bali Mwanamke ni utukufu kwa mumewe.
Kumbe hata wanawake wa kikristo wanatakiwa kufunika vichwa vyao.
 
View attachment 354866
View attachment 354867
Habari wadau..

Kiukweli mimi ni mkristo..

Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii

Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..

Unamkuta mdada kashuka kwenye range lake na hijab yake...

na hata akivaa suti au formal dress la ofisini.. akipiga na ushungi wake anapendeza sana..

yaani unaona tofauti kubwa sana kati ya mke wa mtu wa kiislam na wa kikristo..

Mtu baba ana oil com, lake oil, home shopping na mabiashara mengine makubwa makubwa lakini ana staha.. hana dharau.. dress code ya heshima tele hadi unatamani awe wako..

Ila ukute mambo safi wa dini yetu..

Hicho kiminii.. kikuku na nyodo ofisini..

Hayo mavazi ni kama anashiriki umiss


Waislamu japo mna mapungufu yenu ila kwenye dress code ya wanawake mpo juu sana..

Kuna tofauti kubwa ya mavazi ya mwanamke aliyeolewa wa kiislam na kikristo..

Hata kumtongoza kipuuzi puuzi mtu unaogopa mavazi yake tu yalivyo mpa heshima kubwa...
Heshimu uheshimiwe.
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
Dini zimeleta na tamaduni za hao walioleta dini hiyo.

Hijabu si tamaduni ya kiarabu tu bali hata kiyahudi, kihindi na sehemu zingine duniani.

Picha ya Bikira Maria ni mfano mzuri wa wanawake alivaa Hijabu,
 
Back
Top Bottom