Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

Napenda sana mavazi ya wanawake wa kiislamu hasa mambo safi

bf0442b970010d82f746729fcb55f263.jpg
53429ce8ba90d19f9db3546e1b1a6541.jpg
Wamependeza
 
Hayo mavazi yapo kabla ya uislam, hiyo ni desturi ambayo iko kwa miaka mingi wala haihusiani na uislamu
 
Unajua mavazi ya stara ndio mungu anavyotaka watu wavae but hayo mengine ni utamaduni wa magharibi na dada zetu ndio wanaona wanapendeza kukaa utupu, wapo waislam wanaovaa vibaya tu sema kwenye dini ya uislam kuna makemeo mengi ndio maana wanajitahidu kujistiri sana tofauti na ukristo ambapo mtu anaweza kwenda nyumba ya ibada akiwa kavaa vibaya
 
Ule ni utamaduni wa kiarabu. Uislamu ndo umekopi utamaduni wa kiarabu na kuuendeleza.

So sifia waarabu walioanzisha na sio waislamu.
وَقُلْ لِلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَا ۖ وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَىٰ جُيُوبِهِنَّ ۖ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا لِبُعُولَتِهِنَّ أَوْ آبَائِهِنَّ أَوْ آبَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ أَبْنَائِهِنَّ أَوْ أَبْنَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي أَخَوَاتِهِنَّ أَوْ نِسَائِهِنَّ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُنَّ أَوِ التَّابِعِينَ غَيْرِ أُولِي الْإِرْبَةِ مِنَ الرِّجَالِ أَوِ الطِّفْلِ الَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا عَلَىٰ عَوْرَاتِ النِّسَاءِ ۖ وَلَا يَضْرِبْنَ بِأَرْجُلِهِنَّ لِيُعْلَمَ مَا يُخْفِينَ مِنْ زِينَتِهِنَّ ۚ وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَ الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa.
 
Mie napenda mavazi ya masai na watatulu hasa ukute yamevaliwa na binti ambae bado kigoli wacha wee!
 
View attachment 354866
View attachment 354867
Habari wadau..

Kiukweli mimi ni mkristo..

Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii

Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..

Unamkuta mdada kashuka kwenye range lake na hijab yake...

na hata akivaa suti au formal dress la ofisini.. akipiga na ushungi wake anapendeza sana..

yaani unaona tofauti kubwa sana kati ya mke wa mtu wa kiislam na wa kikristo..

Mtu baba ana oil com, lake oil, home shopping na mabiashara mengine makubwa makubwa lakini ana staha.. hana dharau.. dress code ya heshima tele hadi unatamani awe wako..

Ila ukute mambo safi wa dini yetu..

Hicho kiminii.. kikuku na nyodo ofisini..

Hayo mavazi ni kama anashiriki umiss


Waislamu japo mna mapungufu yenu ila kwenye dress code ya wanawake mpo juu sana..

Kuna tofauti kubwa ya mavazi ya mwanamke aliyeolewa wa kiislam na kikristo..

Hata kumtongoza kipuuzi puuzi mtu unaogopa mavazi yake tu yalivyo mpa heshima kubwa...
unaongelea mambo safi tu ee...wale wengine wa kawaida vipi ambao sio mambo safi
 
Hapo kwenye hayo mavazi ndipo wadada wa kiisilam wanaponivutia sana. Bint takae muoa kwa 99% atakuwa mtoto wa kiisilam ambae anavaa hayo mavazi japo mimi ni Christian. Tena hasa wale wenye rangi a.k.a weupe au maji ya kunde then awe anavaa haya mavazi kiukweli lazima tambambika tu akipita karibu yangu
 
Hayo mavazi yapo kabla ya uislam, hiyo ni desturi ambayo iko kwa miaka mingi wala haihusiani na uislamu
Kuna watu wana roho za ajabu sana.
Anaona shida sana kusema uislam umeamrisha.
Kiufupi ni kwamba uislam haukukataza kila jambo ulilolikuta bali kuna mambo watu walikua nayo na usilam ukawaacha nayo kwakua kwake yana maslahi na jamii yao. Pamoja na hilo kuna mambo yakatiliwa mkazo zaidi ili kuleta maslahi zaidi. Hakika hafanani mwanamke mwenye kujistiri maungo yake na mtembea nusu uchi
Huyu aliejistiri analinda mengi kuanzia heshima yake na hata ya mumewe. Kuna mijanaume haina wivu kabisa yani haoni shida maeneo nyeti ya mkewe yakionwa na marijali wengine wa nje huu ni udayuthi, pia kwa upande wa mwanamke humzidishia heshima na wengi wao hupewa mazingitio maalumu kama wanawake wema na hilo ndo lengo la kuamrishwa na hata leo hii tunalishuhudia. Tazama quran 33:59
 
Post yang ya juu hapo nimeandika na hilo ndo lengo la kuamrishwa.
Usahihi ni moja katika malengo ya kuamrishwa wajistiri.
 
وَقُلْ لِلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَا ۖ وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَىٰ جُيُوبِهِنَّ ۖ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا لِبُعُولَتِهِنَّ أَوْ آبَائِهِنَّ أَوْ آبَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ أَبْنَائِهِنَّ أَوْ أَبْنَاءِ بُعُولَتِهِنَّ أَوْ إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي إِخْوَانِهِنَّ أَوْ بَنِي أَخَوَاتِهِنَّ أَوْ نِسَائِهِنَّ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُنَّ أَوِ التَّابِعِينَ غَيْرِ أُولِي الْإِرْبَةِ مِنَ الرِّجَالِ أَوِ الطِّفْلِ الَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا عَلَىٰ عَوْرَاتِ النِّسَاءِ ۖ وَلَا يَضْرِبْنَ بِأَرْجُلِهِنَّ لِيُعْلَمَ مَا يُخْفِينَ مِنْ زِينَتِهِنَّ ۚ وَتُوبُوا إِلَى اللَّهِ جَمِيعًا أَيُّهَ الْمُؤْمِنُونَ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipo kuwa unao dhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, wala wasionyeshe uzuri wao ila kwa waume zao, au baba zao, au baba wa waume zao, au watoto wao, au watoto wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kaka zao, au wana wa dada zao, au wanawake wenzao, au iliyo wamiliki mikono yao ya kuume, au wafwasi wanaume wasio na matamanio, au watoto ambao hawajajua mambo yaliyo khusu uke. Wala wasipige chini miguu yao ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha. Na tubuni nyote kwa Mwenyezi Mungu, enyi Waumini, ili mpate kufanikiwa.
م شا الله
الله يبارك لك ولعائلتك
 
Back
Top Bottom