Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Hapo umeingizwa choo cha kike mkuu. Hapo hakuna mwanamke. Ndio huyo unamwita mdada mrembo huyo?. Watu mna roho ngumu,demu hata kwa macho tu unampima kwamba huyu ni baharia la kike tena lililokubuhu. Yaani wewe unahangaika na hilo dude,yaani umewekeza kabisa na roho yako hapo?. Demu ana rangi mbili. Kweli wahenga walinena kipendacho roho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa mchango wako mkuu. Unanifumbua macho zaidi.
 
Sijajua kama umepata jibu! Jinsi ya kufanya, mtume ndugu yako achukue unywele wa huyo mtoto akutumie au kucha halafu ukapime DNA huko marekani. Maskini binti aliposikia upo marekani akaona ukoo wake utaaga umaskini kwa yeye kuolewa nawe. Asichokijua wewe ni sawa naye ila mazingira tofauti. Angejua unaishi Buza ya marekani asingeingia mchecheto
 
Mimi nashauri kwanza usimhendekeze huyo mwanamke tapeli,mara kumruhusu aende kazini kwako,mara kuonana na ndugu zako, anaanzaje au anapataaje nguvu za kuja kazini kwako? Watu wanakataa watoto zao wa kuwazaa kbs itakuwa huyo wa kusingiziwa, inavyoonekana wew ni mpole na unapenda kusikiliza watu wanaokuja kwa kutia tia huruma. Mimi nikushauri kutokana na unachokiomba kushauriwa moja, tafuta ndugu yako aliyepo tz ambaye atakuwa tayr kukusaidia kupata nywele za mtoto (avae gloves kisha amnyoe nywele azihandle vizuri)alafu akutumie huko Marekani upime DNA maana tz kuna complications juu ya suala hilo. Shirikisha ndugu zako hasa wazazi wakusaidie ,wafanye kama wanataka kumhudumia mtoto alafu baadaye wafungue shauri ustawi wa jamii kisha mahakani alafu mnaweza kufikishana huko pa kupima DNA, Tafuta rfk zako wa karibu, wamtongoze huyo mwanamke kisha wakusaidie kupata taarifa nyeti za huyo mwanamke.
Mwisho, jaribu kuwa strong , usicheze na wanawake wa namna hiyo, kuwa mkali sana, wala wasimruhusu kwenda kazini kwako, wamuitie polisi kwamba anaenda kufanya fujo,wamkane kabisa kuwa hawamjui.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nina hasira ila huu uzi umeniondolea maumivu

Hapo kupima mkojo niko hoi 🤣🤣🤣🤣🤣sijakaa sawa tangazo la mtoto wa nani
Mara dau...😊😁😁😁
Viva JF sometimes hizi drama humu ni tiba kwa magonjwa yetu😂😂😂😂🤗
 
Ni kweli. Mademu Tz wanajua uko USA basi wanaona dola tu. Wangejua hata sisi tunavyopambana na kumenyeka nchi za watu, wala wasingebabaika kihivyo. Kiukweli mademu wananigombania sana. Lakini karibu wote ni pesa tu au hilo suala la USA ila hakuna anayekupenda.
 
Asante sana kwa ushauri mzuri
 
Najua kila mtu anatazama uzuri kwa namna yake lakini huyo mwanamke ni mbovu, naoana hata ana mapere ya kudumu ya kwapa. Sidhan kama anaweza kukufanya utapetape namna hii.
 
Ndio hivyo. Watu maisha yana challenges aisee. Inawezekana mtu usiwe na shida sana ya hela, lakini mambo mengine kibao. Pia wanasema more money more problems. Ndio matatizo kama haya yanakukumba. Nakutakia siku njema.
 
Watu wasishambulie Bila kusikia upande wa mwanamke.

Yeye si anasema ni wako? Na uwezo si unao? Chukua mtoto.

Halafu hakikisha vyeti vinasoma jina lako, kama ana wazazi wengine lazima watarespond tu. Wasiporespond basi hiyo ni zawadi umepewa lea maana uwezo umepewa.

Hii akili sijui ni ya ki USA uliyotumia kusambaza picha za mtoto si ya busara.
 
Duh...njaa mbaya sana. Mtu yuko anatoka nje ya nchi (USA) na njaa zako unakuja unapumulia kwa changudoa grade mbaya wa namna hii??
 
Nilishamwomba anitumie cheti cha kuzaliwa sana. Tena sio mara moja. Hajafanya hivyo. Na nilimpiga biti nikamwambia akituma feki ni kughushi document ya serikali na nitahakikisha anaenda jela miaka mingi. Dhumuni ilikuwa kujua amezaliwa lini. Hilo amelikwepa moja kwa moja. Ananiona mimi bwege sana itakuwa.
 
Picha kasambaza mwenyewe kwanza. Mitandaoni kwa ndugu nk. Kwa hio ni halali kabisa nilivyofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…