Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

Utamtetea sana mdada mwenzako, lakini watu waliona picha zake na kumbuka "pictures tell a thousand words" kwa hio wameweza mtambua sana kwa picha zake kuwa yeye ni malaya, tapeli na hana urembo wowote.

Ni aibu kwamba nilijihusisha na mtu kama yeye. Wasichana mbadilike. Mnasema hakuna wanaume wa kuoa wakati siku hizi warembo mmekuwa kimaslahi na sio kama enzi za mama zetu msichana anakuwa mchapa kazi, na anakuwa kitu kimoja na wewe muendeleze maisha na familia. Mbadilike. Narudia, wadada Tz mbadilike kwa kweli, ama sivyo hakuna mtu wa kuwaoa mtapata.
Duh! Sio wrote brother, muhimu ni kumuomba Mungu na kucheza karata zako vizuri. Upendeleo ni ubatili Bali mwanamke amchaye Mungu ndie atakaesifiwa. Bado watu wanaojielewa wapo shida yetu hamtulii wakaka kwenye kutafuta mnakurupuka mno
 
Halafu, wewe unasema mimba ilikuwa negative, mara uliporudia ikawa postive na ulipom-search ukamkuta na kikopo.

Kwahiyo ukaridhika na majibu yapi? Kwanini msingepima damu ili waone hormonal levels?

Wewe mtu wa Marekani mwenye uwezo wa mamilioni ulienda Hospital au Zahanati?
😂😂😂
 
Utamtetea sana mdada mwenzako, lakini watu waliona picha zake na kumbuka "pictures tell a thousand words" kwa hio wameweza mtambua sana kwa picha zake kuwa yeye ni malaya, tapeli na hana urembo wowote.

Ni aibu kwamba nilijihusisha na mtu kama yeye. Wasichana mbadilike. Mnasema hakuna wanaume wa kuoa wakati siku hizi warembo mmekuwa kimaslahi na sio kama enzi za mama zetu msichana anakuwa mchapa kazi, na anakuwa kitu kimoja na wewe muendeleze maisha na familia. Mbadilike. Narudia, wadada Tz mbadilike kwa kweli, ama sivyo hakuna mtu wa kuwaoa mtapata.
Duh! Sio wrote brother, muhimu ni kumuomba Mungu na kucheza karata zako vizuri. Upendeleo ni ubatili Bali mwanamke amchaye Mungu ndie atakaesifiwa. Bado watu wanaojielewa wapo shida yetu hamtulii wakaka kwenye kutafuta mnakurupuka mno
 
Kwani vipi? Kwako wewe kuwa USA au Europe ni sifa? Mimi nilisema tu location yangu ili wachangiaji wajue niko mbali sana na huyo mtu kwa hio wakichangia wazingatie hilo. Kama kwako unaone eti mtu kuwa abroad ni sifa basi pole sana. Watu tuko nchi za watu tunapambana mchana na usiku kama watumwa. Trump na wazungu kama yeye mara nyingine wanatunyanyapaa sababu sisi ni wahamiaji na sio wazawa. Japo mimi binafsi namshukuru Mungu sija-experience hilo sana lakini immigrants wengi wana-experience hilo na hata mimi anytime linaweza tokea kwangu. Ndio maana watu tunajitahidi kuwekeza Tz ili hatimaye tusitegemee nchi za watu. Ila kiukweli USA imenisaidia sana kwa capital ya kuwekeza Tz jambo ambalo najua kabisa nisingeweza kama ningekuwa Tz. USD ina nguvu kubwa ukiibadilisha to Tshs na inafanya mambo makubwa.
Mkuu,

Kwani watu wengi kuwa Marekani kuna ubaya?

Au unataka uwepo wewe peke yako tu? Au shida ni nini?
 
Niulize haya maswali.
1. Mara ya Kwanza alivyopimwa na kukuta Hana, huyo tabibu alipima maji au mkojo wa huyo mwanamke?
2. Kama Ni mkojo ulipimwa je, hii kupima Mara ya pili mlipima mkojo wake au mkojo wa Nani na Kama Ni wake Ni ya Nini kumsachi wakati tayari mlishapima mkojo wake Mara ya Kwanza?
 
Duh! Sio wrote brother, muhimu ni kumuomba Mungu na kucheza karata zako vizuri. Upendeleo ni ubatili Bali mwanamke amchaye Mungu ndie atakaesifiwa. Bado watu wanaojielewa wapo shida yetu hamtulii wakaka kwenye kutafuta mnakurupuka mno
Kama alivyosema Single Phase, ni kweli tunakurupuka tu. Huyo mdada nilimpa kila alichotaka, na shule nikamweka. Pete, familia yake, pocket money ya kutosha. Bado hakuridhika akanisaliti hata wiki 2 hazikuisha baada ya kusafiri. Utanilaumu hapo? Kweli nilikurupuka kumfanya mchumba. Hakustahili kabisa
 
Kama alivyosema Single Phase, ni kweli tunakurupuka tu. Huyo mdada nilimpa kila alichotaka, na shule nikamweka. Pete, familia yake, pocket money ya kutosha. Bado hakuridhika akanisaliti hata wiki 2 hazikuisha baada ya kusafiri. Utanilaumu hapo? Kweli nilikurupuka kumfanya mchumba. Hakustahili kabisa
Pole sana mkuu kuna nyakati kama wanadamu tunapitia kama funzo kwetu. Kwa hivyo chukulia ni funzo pia shukuru Mungu hajakuacha na magonjwa pia hela haimfanyi MTU kua mwaminifu, uaminifu ni tabia ya MTU binafsi tu.

Kama MTU hana tabia hiyo hata umpnangue chumba kwenye jengo LA bank ya dunia hatatulia
 
Kama alivyosema Single Phase, ni kweli tunakurupuka tu. Huyo mdada nilimpa kila alichotaka, na shule nikamweka. Pete, familia yake, pocket money ya kutosha. Bado hakuridhika akanisaliti hata wiki 2 hazikuisha baada ya kusafiri. Utanilaumu hapo? Kweli nilikurupuka kumfanya mchumba. Hakustahili kabisa
Duh! Pole sana. Kumbe ulisomesha!!! Mwanamke anasomeshwa mwisho ngazi ya Cherehani na si zaidi.
 
Niulize haya maswali.
1. Mara ya Kwanza alivyopimwa na kukuta Hana, huyo tabibu alipima maji au mkojo wa huyo mwanamke?
2. Kama Ni mkojo ulipimwa je, hii kupima Mara ya pili mlipima mkojo wake au mkojo wa Nani na Kama Ni wake Ni ya Nini kumsachi wakati tayari mlishapima mkojo wake Mara ya Kwanza?
Ilikuwa hivi mkuu. Nilivyotaka kumwacha baada ya usaliti wake wakati bado niko nje ya nchi (ndio nilikuwa nimeondoka tu Tz hata wiki 2 hazijaisha), alidai ana mimba yangu akijua hiyo itafanya nisimwache. Wakati bado niko nje, nikamwambia akapime. Ila akasindikizwa na mtu wangu wa karibu. Huyo mtu wa karibu nikamwambia achukue namba ya doctor. Basi msichana huyo ex wangu akasema anayo. Doctor akasema hana nilivyopiga simu.

Nikarudi Tz sababu alisababisha matatizo mengine ilibidi nirudi kusawazisha. Nilivyorudi ndio tukaenda kupima sasa.

Mara ya kwanza kupima mimi na yeye, kipimo kikaja hana mimba. Alitumia mkojo. Akawalalamikia hao watu kwamba sio kweli anaomba arudie tena. Wakamruhusu. Kipimo cha kurudia wakasems anayo. Mimi nikasema amekula njama na hao watu. Inakuwaje vipimo viwili tofauti lab hio hio?

Basi tukaenda lab nyingine kali zaidi nikamweleza doctor vipimo vilivyokuja tofauti. Akasema sasa msimamie akikojoa.

Demu akakataa nisiingine chooni naye. Nikashsngaa sababu hakuna nisichokijua kwake. Akasema hajisikii kufanya mkojo. Nikamnunulia maji ya kilimanjaro 2. Chupa kubwa na ndogo ili ajisikie ila akawa bado eti hajisikii kukojoa. Nikala naye bumper to bumper sababu kuna muda alikuwa anataka kwenda kichakani unaona kabisa huyu amebanwa. Ila ndio hivyo hakutaka kukojoa mbele yangu sababu akikojoa, nitataka hio sample tukaipime, na yeye kumbe alikuwa ana mipango mingine na hiyo sample ya uongo.

Baada ya masaa mawili ya kuzingua na kutotaka kutoa mkojo wa sample wa kusimamiwa, ndio nikahisi kitu. Nikasema huyu itakuwa labda ana mkojo ameficha. Hisia zilinituma hapo baada ya uzinguzi wake masaa mawili, vipimo tofauti, hataki niingie naye chooni, maji amekunywa mengi, bado eti hajisikii, na unaona anajibana miguu amebanwa, basi nikasema wewe nakusachi. Nilivyomsachi kwa nguvu, ndio nikakuta hicho kichupa amekificha chenye mkojo. Yani hasira zangu hapo acha tu.

Hii ndio ilikuwa hivyo ila sikutaka kuandika mambo marefu sana kwenye post original
 
Duh! Pole sana. Kumbe ulisomesha!!! Mwanamke anasomeshwa mwisho ngazi ya Cherehani na si zaidi.
Ni muhula mmoja tu. Kwa hio sio hasara sana. Hakuwa vizuri in english. Ndio nilimpeleka shule ya english course
 
Alafu wanaume mnasema huyo dada mbaya;nyie wanawake zenu wazuri?
Sasa hawa wanawake walojaa huku mitaani wengi wa kawaida tu wanaume zao walikufa?
Mtoa mada weka na picha yako,huenda ukawa hata mbili kimo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo alikuwa ni mchumba. Kwa hio tulikuwa na uhusiano mkubwa na hadi kwao walishanifahamu na pete ya uchumba nilimvisha. Nilimwacha nilivyosafiri hata mwezi haujaisha akanisaliti. Asante Mungu kuniokoa. Niliingia mkenge mahali sio. Japo Mungu ndio kweli alininasua. Hawa ndio wanawake ukimwoa hata anakuondoa kabisa duniani.
Dunia mapenzi yake haiko fair kabisa wengine wapenzi wanabaki nakuwasubili akirudi wao ndiyo wanaanza kuwa saliti wakati yeye hakusalitiwa shida sana haya maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom