DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Ndio ndio mkuu.so hatupaswi kutoa maoni untill huyo dada nayeye aje apost trd yake inayojibu hizi shutuma !....sindio ?
Kauli za upande mmoja mara nyingi huwa zimejaa uongo mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndio mkuu.so hatupaswi kutoa maoni untill huyo dada nayeye aje apost trd yake inayojibu hizi shutuma !....sindio ?
Nisaidie kulea watoto na mm mkuu inaonekana una moyo wa imani sana jamani[emoji17]Alivyokuwa anachapa kazi. Yani acha tu. Pamoja niko na watu wanasaidia, alikuwa anafanya kazi kweli. Kupika, kusafisha nyumba, kuosha magari nk. Ila nilivyoondoka tu, nikaambiwa kazi akawa hafanyi. Ndio hivyo, ilikuwa acting tu
Unamchafua vipi wewe mtu ambaye tayari ni mchafu mno na amejaa matope mwili mzima??? Hehehe. Usinifurahishe.Maoni asilimia 90 yanaonyesha mmemwamini mtoa mada moja kwa moja!
Maoni yenu yameegemea upande mmoja.
What if anamchafua tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia kubwa ya wadau wameshasema. Game over!Alafu wanaume mnasema huyo dada mbaya;nyie wanawake zenu wazuri?
Sasa hawa wanawake walojaa huku mitaani wengi wa kawaida tu wanaume zao walikufa?
Mtoa mada weka na picha yako,huenda ukawa hata mbili kimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenisaidia sana sana. Kuna baadhi ya wadau hapa wametoa ushauri mzuri sana.
Ndio maisha yalivyo mkuu. Mtu anaweza kuamini au asiamini. Ni juu yake. Na mimi naweza sikiliza mtu hapa au kumpuuzia. Ni juu yanguNdio ndio mkuu.
Kauli za upande mmoja mara nyingi huwa zimejaa uongo mwingi
😂. Nilitaka kuendeleza race yangu.
Uko hai na una afya, lea watoto wako. Hao ninaowasaidia wawili ni yatima, wa tatu hana baba na mama ana kilema cha maisha.Nisaidie kulea watoto na mm mkuu inaonekana una moyo wa imani sana jamani[emoji17]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina nyumba tanzania. Ya kuishi na ofisi ya kampuni. Ndio anaenda hapo kusumbua wafanyakazi mara kwa mara.
Kuna geti na ukuta. Lakini anakuja kuja tu hapo kuulizia kama nipo nk. Huwa anakaa kimya muda, halafu ghasia zinarudi. Ana mapepo kwa kweli. Hata hio kuja tu kwa geti sipendi. Nilishamsahau kabisa ila ni kama jini ambalo linatafuta gia mbalimbali za kuwa katika maisha yangu. Sitaki kabisa mawasiliano, kumwona, kuwasiliana naye nk. Na sasa ndio anatumia ndugu nao
Yeye alikuwa anakutaka wewe sio hizo kazi [emoji23]Alivyokuwa anachapa kazi. Yani acha tu. Pamoja niko na watu wanasaidia, alikuwa anafanya kazi kweli. Kupika, kusafisha nyumba, kuosha magari nk. Ila nilivyoondoka tu, nikaambiwa kazi akawa hafanyi. Ndio hivyo, ilikuwa acting tu
Siku ukija njoo kimya kimya, tena kwao nenda usiku ili umkate vizuri, lakini nawewe hata ndugu zako wameshindwa kufuatilia kama mtoto ni wake wakakujulisha?Aisee hii nimeipenda ya kusema anipe mtoto nimlee. Nione anafanyaje. Ila inafaa nikiwa Tz na inafaa kumshtukiza tu asipate muda wa kunichezea tena.
Nyie wadada wa siku hizi mnaangalia pochi nene tu.Alafu wanaume mnasema huyo dada mbaya;nyie wanawake zenu wazuri?
Sasa hawa wanawake walojaa huku mitaani wengi wa kawaida tu wanaume zao walikufa?
Mtoa mada weka na picha yako,huenda ukawa hata mbili kimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa karibu sana na ndugu zangu. Il sasa nitawapa maelekezo na kazi itafanyikaSiku ukija njoo kimya kimya, tena kwao nenda usiku ili umkate vizuri, lakini nawewe hata ndugu zako wameshindwa kufuatilia kama mtoto ni wake wakakujulisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamchafua vipi wewe mtu ambaye tayari ni mchafu mno na amejaa matope mwili mzima??? Hehehe. Usinifurahishe.
Asilimia kubwa ya wadau wameshasema. Game over!
Nyie wadada wa siku hizi mnaangalia pochi nene tu.
Kwa hio usiseme kana kwamba mnajali sana mwonekano wa mtu. Mnajali sana $$$ za mtu.
Kweli ni aibu sana mimi kujihusisha na malaya kama yeye na asilimia kubwa ya warembo tz ni makahaba tu. Na ndio maana hawaolewi pamoja na urembo wao. Lesson learned. Amini usiamini, I dont care sababu wewe hauna umuhimu wowote katika maisha yanguBasi na wewe itakuwa wa matopeni.
Mimi siwezi kwanini kuwa anakusingizia mtoto wakati umeweka picha zao tu,wewe umejificha.Alafu siwezi kuamini tu uliyoyasema,huenda umetunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakazania sana picha zangu. Weka za kwako kwanza basi, na mimi nitaweka zangu. HeheheBasi na wewe itakuwa wa matopeni.
Mimi siwezi kwanini kuwa anakusingizia mtoto wakati umeweka picha zao tu,wewe umejificha.Alafu siwezi kuamini tu uliyoyasema,huenda umetunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha Mungu wengi wao huwa kwepa wanapenda viruka njiaDuh! Sio wrote brother, muhimu ni kumuomba Mungu na kucheza karata zako vizuri. Upendeleo ni ubatili Bali mwanamke amchaye Mungu ndie atakaesifiwa. Bado watu wanaojielewa wapo shida yetu hamtulii wakaka kwenye kutafuta mnakurupuka mno