Hakuna haja ya kumwelekeza aende Cc atachafua hali ya hewa maana mbea ni balaa mamndenyi hahahahTukutane cc huku wapo wenye heshima zao.
hahaha...kwaza wakati nasoma hii thread yako nimecheka sana kama vile nakuona mdomo ulivo juujuu masaa yote........pole sana kwani we jinsia gani??Yan nikisikia kitu au habar yeyote uwa nakuwa roho juu,mtu akiniambia kitu siwez kabisa kukaa nacho moyon lazima niseme tu,yaan na enjoy sana umbea,mbaya zaid nyumban ndo dah hat nikiwa wapi lazima nipigiwe simu nipewe taarifa,ikitokea siku nimesafir bas nyumba inapoa sana,nikirud wee umbea kwenda mbele,yaan kwa kweli nimezid umbea kwa kweli,nikiona mtu kasimama na mtu kosa,mtaa mzima lazima wajue kupitia mimi.kuna duka moja ivi uwa tunakaa vijana tunapiga umbea yaan had watu wanatuogopa ukipita tu,bas taarifa zako zinamwagwa hatari,kijiwe chetu kinaogopwa sana,yaan kila nikijitahid niache niish maisha yangu nashindwa yaani napenda sana umbea,nikipata taarifa yako tu bas lazima mtaa mzima wajue,na enjoy sana umbea jamn,hadi nimenenepa napenda sana umbea....
Yaani ki ukweli nyie chunguzeni ti mtajua wanaume tunaongoza kwa umbea hatar kuliko hat wasichana siku izi,na wala elimu sio tatizo,mm nasoma degree ya socilology na wenzangu woote wamesoma yaan level ya chin ni diploma na wala sio maisha maguma au suala la kuwa rijal au la umbea unahusiana nn na urijali??,kwa taarifa yenu wanaume tunaongoza kwa umbea sema wengi wanajificha kuona aibu ila uo ndo ukwel
Umbea kwa mliopita shule kama mimi kwa lugha ya kisomi ni INFORMAL COMMUNICATION OR GRAPEVINE which I can describe as kind of communication which created and controlled by people as a result of secondary network of communication,which does not follow prescribed route,pia kuna aina mbali mbali za informal communication ambayo kwangu mm ni kama umbea,ya kwanza ni SINGLE STRAND(long line of people),GOSSIP WHEEL(Hii ni pale mtu anapotoa umbea ovyo yan yeye achagui wa kumpa umbea yeyote tu twende,PROBABILITY CHAIN(inatokea randomly according to people,CLUSTER CHAIN(huyu mstaarabu yaan umbea wake anachagua wa kumwambia sio mropokaji ovyo,sasa sijui kuna mtu ambaye hafany haina hiz za umbea,na kama yupo labda atakuwa ana matatizo,binadamu bila kusemwa au kumsema mtu hujakamilika kwa namna nyingine ni changamoto za maisha pia umbea it brings psychological satisfaction,japokuwa umbea pia una hasara zake kama misunderstanding,kama unatak kuwa mbea bas uwe makin maana zako zikifika utajuta,so usivamie fani,umbea ni tofaut na RUMORS,rumor ni taarifa au habar zinazotolewa au kuzungumzwa bila kuwa na ushahid(evidence),ila kwa sisi wambea taarifa na DATA zote tunakuwa nazo
Hakuna haja ya kumwelekeza aende Cc atachafua hali ya hewa maana mbea ni balaa mamndenyi hahahah