Hahahaha, Acha maneno weka mzikiMA-MDOGO= Penny mwanangu
MONEY PENNY=Nambie ma mdogo,mzima wewe
MA-MDOGO=Mi mzima yani hapa kila kiungo kinauma,sijui kama nitatembea.
MONEY PENNY=Kwanini
MA-MDOGO=Unamkumbuka yule kijana Idd Ninga ?
MONEY PENNY=Yule nilokutafutia kule Uganda siku ya harusi ?
MA-MDOGO=Huyo huyo,hivi ulimjuaje kama yupo vizuri vile
MONEY PENNY= (anacheka cheka tu)
MA-MDOGO=Yani hapa mi nilipo nasikia kama moto unawaka.
MONEY PENNY=Nilikwambia lakini ma mdogo
MA--MDOGO=Najuta kumfahamu yule muuza mkaa.
ITAENDELEA SEHEMU YA KUMI NA TISA.
Anataka tafran .Anataka mechi Kali kama ya Simba na Yanga
Hivi hako kagoli kamoja mnakokazungumziaga huwa ni ka namna gani?? kama vile vya sungura au??Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe
Money Penny: haya nambie mwanangu
Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!
Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?
Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo navitaka lakini sivipati
Money Penny: kama nini?
Mtoto:
1. Wanajua kupenda
2. Wanajua kugegeda
3. Wanajua kutoa romance
4. Wanajua kutoa attention, wako very attentive kwenye maswala ya kupenda na mambo yetu ya chumbani
Ila wanaume watu wazima Wana shida moja Tu
1. Wanajua kupenda lakini kuipata muda wao NI ngumu
2. Ndio wanahela lakini hela sio Kila kitu wakati mwingine unamwitaji hayupo
3. Kwenye mechi atakupa kigoli 1 kalala kajiongeza Sana 2 au 3
Kwakweli nawamiss wanaume wadogo, Ila siwapati napata watu wazima tuuu nifanyaje?
Haya wale akina pupils wenye mizuka yenu, mumsaidie mwanangu afanyaje!
Apewe Tu, mtoto akililia wembe mpatieAnataka tafran .
Wewe NI mwanaume au mwanamke?!Hivi hako kagoli kamoja mnakokazungumziaga huwa ni ka namna gani?? kama vile vya sungura au??
Unataka wanaume wadogo na pesa huna kwako afate nn hata uzur hunaMa-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe
Money Penny: haya nambie mwanangu
Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!
Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?
Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo navitaka lakini sivipati
Money Penny: kama nini?
Mtoto:
1. Wanajua kupenda
2. Wanajua kugegeda
3. Wanajua kutoa romance
4. Wanajua kutoa attention, wako very attentive kwenye maswala ya kupenda na mambo yetu ya chumbani
Ila wanaume watu wazima Wana shida moja Tu
1. Wanajua kupenda lakini kuipata muda wao NI ngumu
2. Ndio wanahela lakini hela sio Kila kitu wakati mwingine unamwitaji hayupo
3. Kwenye mechi atakupa kigoli 1 kalala kajiongeza Sana 2 au 3
Kwakweli nawamiss wanaume wadogo, Ila siwapati napata watu wazima tuuu nifanyaje?
Haya wale akina pupils wenye mizuka yenu, mumsaidie mwanangu afanyaje!
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu anakuoooona
mwanaume....Wewe NI mwanaume au mwanamke?!
is this serious issue π€Ode, yupo vizuri
We mkali umemaliza movies za James Bond. Kuna nyingine inakuja "NO TIME TO DIE" anaendelea mkali Daniel Craig.Kumbe unaongelea ndoto
Ndio maana nakataa money penny hakuwahi kuliwa zile zilikuwa ndoto tu
Katikati ya pupil na babu π πWewe NI pupil au babu?! πππ
We Kwan NI mzuri?!Unataka wanaume wadogo na pesa huna kwako afate nn hata uzur huna
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Ndio maana πππmwanaume....
Kwanini?!πππππis this serious issue π€
Bongo sijui wanaionyesha liniYes! Money Penny, in Bond's voice We mkali umemaliza movies za James Bond. Kuna nyingine inakuja "NO TIME TO DIE" anaendelea mkali Daniel Craig.
HahahaahahMbona nipo hapa...inbox free