supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,017
- 1,965
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hataki kwenda jela Miaka 30🚶🚶🚶🚶Aje shuleni kwetu, darasa la sita wanamfaa
Mimi huwa zikitoka tu, nafanya ku download kwenye torrent sites.Hiyo No time to die inatoka November 2020.Bongo sijui wanaionyesha lini
Nimesubiriiiia lakini sijakuona
Hio ndio movie pekee sijaiona
Bora wameisogeza mbele WALISEMA ingetoka April 2020 naona wameisogeza mbele kwasababu ya coronaMimi huwa zikitoka tu, nafanya ku download kwenye torrent sites.Hiyo No time to die inatoka November 2020.
Mzuri Sanawapo sema mwonekano wake labda vijana wanapita hvi
Anaonekana enzi zake aliwabania sana vijana huyo.Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe
Money Penny: haya nambie mwanangu
Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!
Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?
Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo navitaka lakini sivipati
Money Penny: kama nini?
Mtoto:
1. Wanajua kupenda
2. Wanajua kugegeda
3. Wanajua kutoa romance
4. Wanajua kutoa attention, wako very attentive kwenye maswala ya kupenda na mambo yetu ya chumbani
Ila wanaume watu wazima Wana shida moja Tu
1. Wanajua kupenda lakini kuipata muda wao NI ngumu
2. Ndio wanahela lakini hela sio Kila kitu wakati mwingine unamwitaji hayupo
3. Kwenye mechi atakupa kigoli 1 kalala kajiongeza Sana 2 au 3
Kwakweli nawamiss wanaume wadogo, Ila siwapati napata watu wazima tuuu nifanyaje?
Haya wale akina pupils wenye mizuka yenu, mumsaidie mwanangu afanyaje!
Hapana alikuwa anaumwa sana amepona ukubwaniAnaonekana enzi zake aliwabania sana vijana huyo.
😂😂😂😂😂😂😂Kuna wengine humu wataishia kupiga nyeto milele amina.
Vepee?! 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🙄Duh!
Mpiga nyeto na mapenzi ya kindakindaki wapi na wapi? Mpiga nyeto anataka apande dk 2 amalize. Siku akikutana na demu shughuli pevu anaona bora aendeleze fani ya nyeto.😂😂😂😂😂😂😂
Najaribu ku image how old are you !Vepee?! [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji849]
Nini kilimsumbua?Hapana alikuwa anaumwa sana amepona ukubwani
SauwaMpiga nyeto na mapenzi ya kindakindaki wapi na wapi? Mpiga nyeto anataka apande dk 2 amalize. Siku akikutana na demu shughuli pevu anaona bora aendeleze fani ya nyeto.
63 yrs old sireNajaribu ku image how old are you !
Mbona maswali Mengi Kaka vepeNini kilimsumbua?
Aisee, asante Kwa Promo, atasikiaMwambie aje kwangu!mi huwa sikojoi haraka nina miaka 25!!Halafu pesa ninayo akitaka matunzo nampa!!!Nachomeka nachomoa hadi atakubali!!!