Napenda wanawake wanaojisitiri kimavazi kuliko wa vimini na mawigi

Hilo la tabia mada nyingine mkuu.
 
Ni wa dini ile!
 
mwanamke anaejifunika huwa wamoto sbb anahifadh joto ila anaejiachia vimin huw wabarid
 
Aise nilifikil ni mimi tu maana huwa nawaangaliaga sana wadada wa Kizenj wanavyovutia na hijab zao kwa kweli nawapenda na ukitaka kuwaona nenda kigambonino
 
Ni kwel the most valuable things in this word are covered and protected kwa mfano tunapata wap madini ya diamond ,gold chini ya ardhi yamefichwa na miamba mikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…