Napenda wanawake wanaojisitiri kimavazi kuliko wa vimini na mawigi

Napenda wanawake wanaojisitiri kimavazi kuliko wa vimini na mawigi

Ningekuwa mwanaume ningeoa mwanamke angalau mwenye roho nzuri (hapa roho nzuri sijui niielezee vipi) ila itoshe tu kujulikana hivyo. Mtu ambaye ataweza kukaa na ndugu zangu, wazazi wangu, watoto wa kambo kama itatokea.
Haya ya mavazi sijui tabia tungejua jinsi ya kurekebishana.
Hakuna kitu naogopa duniani kama mwanamke mwenyewe roho mbaya ya ajabu.
Utu! Utu! Utu! Sijui ningewezaje kumjua mwenye Utu. Lakini Nafikiri ndicho kingekuwa kigezo cha kwanza katika uchaguzi wa mwenza.
Roho mbaya itaanzia kwenye mavazi, kama unaenda na mwanamke ambaye mama yako anaweza kumlinganisha na wadanguro, au akapata imani kuwa kwa 'hulka' hiyo ya mavazi hauko peke yako juu ya huyo mwanamke. Je, utamlaumu mama yako !?
 
Unadhani watu wote wamepitia shule za sekondari, hayo mambo yenu ya divission au Classes ni kwa nyie mliomaliza shule za msingi mkaendelea mbele zaidi, maana hii lugha imekaa kimatokeo ya mitiahani
aiseeh.... unajivunia mkono wa sweta ! ...duuuh !
 
Kwakweli mimi nikiona mwanamke kavaa hijab nachanganyikiwa
Nawapenda sana wanawake wa sampuli hii!
Hijjab and Beauty.png
 
Roho mbaya itaanzia kwenye mavazi, kama unaenda na mwanamke ambaye mama yako anaweza kumlinganisha na wadanguro, au akapata imani kuwa kwa 'hulka' hiyo ya mavazi hauko peke yako juu ya huyo mwanamke. Je, utamlaumu mama yako !?
Nimesema hivyo kwasababu mimi ni mwanamke, ni mama wa watoto wawili, nina marafiki wa kiume nina kaka zangu, jamani tatizo la roho mbaya za wanawake limenizidi kukua siku baada ya siku, wanaofanya hivyo ni wanawake wenzangu wengine ni wazuri wanajistiri ukiwaona kama wastaarabu lakini vitendo vyao vinaogofya.
Ndio maana nikasema angalau kwenye uoaji wenu wanaume kitu cha kwanza kukiangalia kingekuwa Utu wa unayemuoa. Mavazi na tabia sidhani kama yanamsingi sana, na wasichana wengi wasiojistiri ni kwasababu tu hawajaolewa au hawajapata wakuwaoa, sifikirii kama kuna msichana leo hii ukamwambia nataka kukuoa bado aendelee kuvaa vibaya.
Kuna vitu vinabadilika vingine havibadiliki asilani.
 
Nimesema hivyo kwasababu mimi ni mwanamke, ni mama wa watoto wawili, nina marafiki wa kiume nina kaka zangu, jamani tatizo la roho mbaya za wanawake limenizidi kukua siku baada ya siku, wanaofanya hivyo ni wanawake wenzangu wengine ni wazuri wanajistiri ukiwaona kama wastaarabu lakini vitendo vyao vinaogofya.
Ndio maana nikasema angalau kwenye uoaji wenu wanaume kitu cha kwanza kukiangalia kingekuwa Utu wa unayemuoa. Mavazi na tabia sidhani kama yanamsingi sana, na wasichana wengi wasiojistiri ni kwasababu tu hawajaolewa au hawajapata wakuwaoa, sifikirii kama kuna msichana leo hii ukamwambia nataka kukuoa bado aendelee kuvaa vibaya.
Kuna vitu vinabadilika vingine havibadiliki asilani.
Roho mbaya inaletwa na njaa, .... ubepari (class) na unyonyaji (dhulma).

Men are protectors of women.PNG
 
Inapendeza binti/mama akivaa nguo ya sitara, hata heshima huongezeka, wanaume wengi huvutiwa na mavazi ya kubana kingono tu, lakini mwanaume huyu huyu humheshimu sana mwenge mavazi ya kusitiri mwili.
Kuheshimika au kutokuheshimika ni feelings tu, which exists only in your head.
 
Kikubwa na muhim ni kustiri mwili hamna mtu anaependa kuwekwa roho juu juu ukiangalia kwa makini utakuta mwanamke anae kaa ktk mahusiano mazuri ni mwenye kuhifadhi mwili kweni humjengea heshima
Lkn unapo vaa kimin hata kama si mchafu kiivo watu wanakuchukila ndo wale wale wa bei gani,,,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
but my dear,
hata mie nimenotice jambo, kwenye uvaaji.
I am a christian lady, uvaaji hijab sio desturi yetu, ila toka nimeanza kuvaa madera, na magauni marefu najiona kama nimekuwa huru mno na pia naheshimika zaid kuliko nikivaa suruali. so nilikuja deduce kwamba nguo/vazi bado linabak kuwa ni kigezo cha kwanza cha kumdefine mtu leave alone utu wa ndani ambao huo hauwez kuumeasure kwa first mwonekano wa kwanza
Very true sis your value as a woman is not measured by the size of your waist or the number of men who likes you. Your worth is defined by the beauty of your soul,heart and moral character. Your worth as human being is measured on a higher scale,a scale of righteousness and piety. God elevates the dignity of a woman's body by commanding that it be respected and covered,shown only to the deserving. Hijab liberates women. It frees them from the beauty standards set by this world. Once you're liberated,You dont answer to the slaves of God on Earth, You answer to their KING
 
aiseeh.... unajivunia mkono wa sweta ! ...duuuh !
Ofcourse najivunia kitu ambacho wewe huna, hujui test yake katika utu uzima na huwezi kukipata hata ukikihitaji, lakini mimi nikihitaji kuwa kama wewe hata leo hii naweza kupitia Hosptali baadaye. Kwasababu nikitoa ni ngumu kurudisha ngoja niiendelee ku-enjoy hii hali mpaka nikichoka ndo niamue kuingia katika hali ambayo bado siijui. Sipendi ku-regrete!!
 
Hao
Mie hawa waliovaa kihasara ndio roho yangu nakula kwa macho maana hao wengine mpaka uwafunue
hao mkuu wa vimini ndio wanaharibu nguvu za kiume kila mda unawaona maumbile yao ukiwa nao ndan unaona kawaida tu
 
Kwa nyie mnaosapoti ujinga wa nguo za kihasara. Mnapenda mama zenu, shangazi zenu au dada zenu kuvaa mavazi haya?
Sijajua hizi nguo fupi wazo hili alilobuni. Hata ukiangalia movie za zamani za wenzetu za zamani ilikuwa sio rahisi kukuta vimini. Wengine watasema mavazi hayapimi tabia ya mtu. Tembeeni na bikini basi tujue moja kwa mnaosapoti. Hii inaleta picha kwa vizazi vinavyokuja kwamba mwanamke ni chombo cha starehe.
Acheni tabia hizo. Haina haja ya kukaa uchi kuonesha uzuri wako.
 
Ofcourse najivunia kitu ambacho wewe huna, hujui test yake katika utu uzima na huwezi kukipata hata ukikihitaji, lakini mimi nikihitaji kuwa kama wewe hata leo hii naweza kupitia Hosptali baadaye. Kwasababu nikitoa ni ngumu kurudisha ngoja niiendelee ku-enjoy hii hali mpaka nikichoka ndo niamue kuingia katika hali ambayo bado siijui. Sipendi ku-regrete!!
.......... hiyo ni tofauti ya Kafiri na aliye amini kwa mujibu wa Biblia !
 
Back
Top Bottom