Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo basi ndio una enjoy sana attention sio??... yaani uko confident enough kusema etii wananitolea macho sababu ya uvaaji wa nusu uchi wako!!?... kweli mwalimu wenu hanaga machohspa nimevaa umini wangu hatari, nipo ubungo naona macho juu wanavyonitolea macho,
hahaaaaaahaaaaahaaaaa.Hivyo basi ndio una enjoy sana attention sio??... yaani uko confident enough kusema etii wananitolea macho sababu ya uvaaji wa nusu uchi wako!!?... kweli mwalimu wenu hanaga macho
hizo hijab kwa upande mwingine ni noma sana.wee acha tu
Unadhani watu wote wamepitia shule za sekondari, hayo mambo yenu ya divission au Classes ni kwa nyie mliomaliza shule za msingi mkaendelea mbele zaidi, maana hii lugha imekaa kimatokeo ya mitiahaniumepata four ya ngapi?
Ni moja ya sababu ya credit!Mke mwema hapimwi kwa mavazi na mwonekano!
tatizo wanawake mnamitazamo tofauti na watu mnao tegemea kuwapata sisi tunawambia watu wakuingia katika ndoa hawatakiwi kuwa na hayo madudu nyie mna lazimisha! sisi tunazungunzia kuusu mtu kuwa MKE sio DEMU kunatofauti apo! siwezi nikajiribua kwa mtu wa ovyo ovyo!Mipafyumu sio tatizo hakuna kitu kinachochoa mapenzi Zaidi kwa mwenza kunukia vizuri, kunukia vizuri ni ishara ya kujijali zai...Pafyum iondoe.
View attachment 325590
'Ewe Nabii (Muhammad !) Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini (Waislaam) wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi wao kutambuliwa (kuwa ni Waislaam) ili wasiudhiwe. Na Mwenyezi Mungu ni mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
Qur'an: 33:59.
Kwa kujilipua wavaaji wa mavazi haya balaa........mnaona kajisitiri ana heshima mara kabooooooooooooooooom!!!!
Nini tofauti ya 'a Lady' na mwanamke anae jiuza Kinondoni !? ....... mavazi yako yanashawishi 'a kind of advancement' (kihuni au kiistaarabu)Mke mwema hapimwi kwa mavazi na mwonekano!
Tafuta wanwake waliojilipua kama utakuta alievaa kimini au skinny jeans.....Its offensive but its the truth,im a fool but i dont hate you coz i dont know who the hell you are.
you need a little exposure.Nini tofauti ya 'a Lady' na mwanamke anae jiuza Kinondoni !? ....... mavazi yako yanashawishi 'a kind of advancement' (kihuni au kiistaarabu)
View attachment 326520
....Sasa hivi ukipita Makanisani kuna mabango ya 'dress code' yamewekwa ! na ukienda kinyume, hutahudhuria shughuli za ibada. 'Management reserve the right of admission'but my dear,
hata mie nimenotice jambo, kwenye uvaaji.
I am a christian lady, uvaaji hijab sio desturi yetu, ila toka nimeanza kuvaa madera, na magauni marefu najiona kama nimekuwa huru mno na pia naheshimika zaid kuliko nikivaa suruali. so nilikuja deduce kwamba nguo/vazi bado linabak kuwa ni kigezo cha kwanza cha kumdefine mtu leave alone utu wa ndani ambao huo hauwez kuumeasure kwa first mwonekano wa kwanza
Ni 'mtu' mwenye mke na watoto, hivyo nina exposure ya kujua 'huyu yuko uchi na huyu amejisitiri'you need a little exposure.