Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii

Mim nipo nje ya mada.chuma ulete mharibu hela.ushauri
Bot.toen elim kwa umma. Wanaharibu hela
 
Kwani kodi ikilipwa yote mara moja kwenye source, yaani yote kabisa, halafu wanachi wakaachwa waishi kwa amani kuna tatizo gani?
 
 
Itabidi kubadilisha mifumo ya EFD kulingana na biashara chain inapoanzia.

Kama kiwanda kinatoa risit basi huko mpaka kwa muuzaji mashine yake inatakiwa kuwa tofauti kabisa na asilimia ya mwisho ya muuzaji hiwe 2% kwenye risiti
 

value added tax kwa kimombo aina hii ya tax inaingia katika kundi la indirect tax nikisema indirect tax namaanisha mlipaji haumii kulipa kodi kwani kodi inakuwa tayari ndani ya bei ya bidhaa,na sifa moja wapo ya V.A.T inaelipa ni mtumiaji wa mwisho mfano ukinunua vocha ya Tsh 500 ukajiunga kifurushi ukisoma vizuri kuna V.A.T ndani yake. Baadhi ya sifa za mfanyabiashara mpaka anakuwa V.A.T register ni.(ntasahihishwa kama sifa zimebadilika)
1. awe na turnover ya mil 100 kwa mwaka
2. mtaji wake uwe kuanzia mil 14.
3. awe anauza bidhaa zilizopo katika kundi la V.A.T.
ukija katika mfumo wa usambazaji wa bidhaa (chain of distribution) kuna stage nne ambazo ni.
1.producer atamuuzia wholesaler. (producer ni mzalishaji)
2.wholesaler atamuuzia retailer. (wholesaler ni muuzaji wa vitu kwa ujumla)
3.retailer atamuuzia final consumer.(retailer ni wauzaji wa rejareja)
4.final consumer.(ni mtumiaji).
ukiona hiyo distribution chain na ukiangalia sifa za kuwa mfanyabiashara ambae unalipia V.A.T mara nyingi inakomea katika stage two ambapo unawapata producer na wholesaler, nafikili nimeeleweka.
kama nilivyoesema kule juu V.A.T anaelipa ni mtumiaji wa mwisho, ipo hivi.
Producer akiuza bidhaa akakata V.A.T (hii itakuwa ni Input tax) na yeye akanunua bidhaa akakatwa V.A.T (hii itakuwa ni output tax). sasa V.A.T itakayolipwa na huyu mfanyabiashara itakuwa input tax-output tax moja kwa moja bidhaa aliyotumia katika uzarishaji itajifuta mfano alinunua vifaa kwa ajili ya kutengeneza simu (output tax) na hiyo simu akaiuza (input tax) umeona sasa ila angenunua kwa matumizi binafsi asingekuwa na input tax ya kufutia hiyo kodi.
Nawasilisha kwa kuongeza maarifa zaidi
 
Ahsante kwa kukazia uzi
 
 

Mkeka huo ni sawa so as long as huku mtaani hamta bughudhi watu kudai receipt, bidhaa ziuzwe free
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…