Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii

 
Hakuna mfanyabiashara anayelipa VAT,bali hulipwa na mtumiaji wa mwisho!!Mfanya biashara yeye ana kuwa ni mkusanyaji tu wa hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini.Na ndio maana sio kila mfanyabiashara ana sifa za kuwa mkusanyaji wa kodi hiyo.Ugomvi unaanzia kwenye bidhaa una pata faida yako,halafu hutaki kutoa risiti ya EFD,na hiyo 18% uliyokusanya kwa mlaji badala ya kuiwakilisha TRAnayo unaitaka tena!!???
 
Bila shaka umecomment bila kusoma thread yote.

Sina hakika kama umeelewa hoja yangu juu ya mfumo kuleta mlolongo mkubwa na wa gharama bila sababu. Maana hayo unayosema ndio nami nimeyasema na hakuna aliyebisha.

Mfumo ninaopendekeza utahakikisha watu hawakwepi kodi, maana hapatakuwa tena na haja ya kutegemea utoaji risiti ili kukusanya kodi za bidhaa.

Hali kadhalika biashara zitafanyika bila bughudha toka kwa vijana njaa njaa mitaani wanaokamata mizigo, kiujumla gharama za ufanyaji biashara zitashuka sana na kuchagiza ukuaji wa uchumi.

Halafu kingine, kwanini unajibu hoja nzito kwa pupa kama nguruwe kafunguliwa bandani? Tuliza akili na uchangie mada kwa mantiki huku ukizingatia hoja tajwa.
 
 
 
Kila bidhaa iwe na barcode tu
Sawa, ila kodi yote ilipwe pale pale Kiwandani au bandarini, hata akiweka Vat 50% sawa, ila ilipwe yote hapohapo kwenye source, huku mtaani wananchi tufanye biashara kwa uhuru bila bughudha, sisi sio wakimbizi!
 
Kodi ipigwe kwenye source

Your browser is not able to display this video.
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…