Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Kwaio ukikutwa na ela zimejaa chumban kwako bas moja kwa moja wew ni mwizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sheria inakataza kuwa na zaidi ya mil.10 ndani..

Unaiba Pesa👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    175.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-125655.png
    49.3 KB · Views: 4
heshima kitu cha bure, acha
 
uanze wa kitendo kumuua Lissu alafu ndio uje uo wako sasa, sawa sawa? nakuuliza tena sawasawa?
 
Hao mnaotaka wachunguze kifo chake unadhani hawakujua tabia zake alipokuwa kwenye hicho cheo? Au kwakuwa watu wanatunza siri, basi unadhani wana huo muda wa kuchunguza kifo chake?
Bado unazungumzia masuala binafsi, hayo ya tabia zake sio hoja yetu hapa wala hakuna aliyesema kifo chake kichunguzwe kwa sababu alikuwa mkamilifu ana tabia njema kama Lissu ambaye ndio mnaona anastahili shambulizi lake kuchunguzwa.
 
Sisi tunachojua alikuwa muuaji na kama aliuliwa basi ndiyo vile kuwa malipo ni hapa hapa duniani
Kwamba alikuwa muuwaji, si kila mtu ana huo mtazamo mkuu wabongo wanapenda kujipa hisia kunyume na uhalisia.
 
Ndio maana mnahusiwa kutenda wema bila kujali utapata nini au utakosa nini. Huyo unayemsemea mbona hakutaka kufanya uchunguzi huru kwa Azory na Saa8! Maisha ya duniani mafupi ishini kwa wema. Vyeo hupita tu.
Mkuu huo uchunguzi haumfaidishi marehemu yeye keshakufa, huo uchunguzi ni kwa ajiri tulio hai.
 
Kwani yeye aliua wangapi? Tuanze kwanza kuchunguza wanasiasa waliokufa vifo vyenye utata kipindi akiwa Rais kwanza ndio tuende kwake
Au hao wengine hawana maana sababu hawakua marais? Binadamu wote ni sawa
Muosha huoshwa, auwae kwa ncha ya upanga nae huuwawa kwa upaga.
 
Muosha huoshwa, auwae kwa ncha ya upanga nae huuwawa kwa upaga.
Na Lissu alifanya nini hadi naye kikamkuta kile kilichomkuta maana sio wote waliyokutwa na kilichomkuta Lissu? ambaye sasa keshapata ulemavu wakati alikuwa mzima?
 

Mtu aliyefiwa na mpendwa wake hupitia hatua nyingi sana katika kupona, lakini hatua ya kwanza kabisa ni kuhisia kuwa mpendwa wake hakufa kifo cha kawaida bali ameuliwa na mtu.

Uzi huu ulianzishwa kipindi watu wakilia, ni sawa.
 
Bado unazungumzia masuala binafsi, hayo ya tabia zake sio hoja yetu hapa wala hakuna aliyesema kifo chake kichunguzwe kwa sababu alikuwa mkamilifu ana tabia njema kama Lissu ambaye ndio mnaona anastahili shambulizi lake kuchunguzwa.

Kama yeye hakuwa anajali ubinafsi na yuko kitaasisi, vifo ama kupotea kwa wengine kulipaswa kuchunguzwa kitaasisi bila kumsikiliza yeye. Sasa unataka watu wafuate utaratibu wakati yeye mwenyewe alipokuwa kwenye ofisi alipindisha sheria! Au unaona urais ni cheo cha maana sana mpaka kila mmoja atetemekee kifo chake?
 
Mkuu labda hujaelewa, hakuna ambacho kitamfaidisha marehemu wala huo uchunguzi hauna masilahi kwa marehemu.

Tatizo mkuu unaleta hisia zako binafsi kwa marehemu na sisi hatuko huko, kwahiyo mnavyotaga ufanyike uchunguzi wa shambuluzi la mtakatifu Lissu ni kwa sababu Lissu ni kwa sababu ya tabia za Lissu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…