TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
Wapigie simu hawa watu wawili 0715132277 seleman au 0552627771 Athumani ndiyo wenye siri nyingi za Nchi hii ongea nao vizuri watakupa taarifa vizuri au hata jinsi ya kupata ukweliHabari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio wengi wanashuku kifo cha Hayati Magufuli na kudhani kuwa kifo chake kina hujuma.
Serikali iheshimu mawazo ya watanzania tunaotilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka tukio la ule Moshi uliomfuata Hayati Magufuli mkoani Mtwara alipokuwa kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazidi kuwa na mashaka kuwa huenda zile zilikuwa baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwasi wetu unakuwa mwingi baada ya Habari kuwa nyingi za Hayati Magufuli kafariki kabla hata ya Serikali kutangaza huku picha za Gari la maiti ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini kina Tundu Lissu na Kigogo walikuwa wanapata taarifa na walikuwa na uhakika kabisa kuwa mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kabla Magufuli yupo hai viongozi walianguka kama kuku tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa hamna kiongozi hata mmoja aliyekufa?
Huwezi kusema ule ulikuwa uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea hivi na Serikal kukaa kimya huwezi jua Baadaye itakuwa na madhara gani pia hutojua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so ni bora Serikali ilimalize kwanza ili suala kwani kila siku mambo yanazidi kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hiyo hapo chini.
Wapigie simu selemani na Athumani watakuelezea mkasa mzimaWAPO watakao amin mimi binafs ningependa kupata hata kidogo dokezo la chanzo cha ule mosh
Nadhani wewe hukuwepo tulitangaziwa ilikuwa ni matatizo ya moyo betri iliisha chaji
Toeni unafiki hapa, kwani nani hajui JPM alikua na moyo wa plastiki Tena wa beberu? Aliwadanganya kuwa chanjo hazifai huku anatumia moyo kabisa wa beberu!! Sasa mashine imepata shoti ulitegemea Nini?Mungu hachezewi
sasa hivi kama naona wale wote wanaotajwa kuhusika wala hawana furaha ukiangalia kwa jicho la rohoni unagundua kabisa kuna kitu
siku zao zaja na zitatisha damu ya mtu haijawahi kwenda bure
Lkn ndio waliowengi,Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache
Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Wewe subiri hiyo siku ifike,Mtaani JPM amefahamika kauwawa,
Mnakaa kwenye AC huku hamjui kinachoendelea sababu furaha yenu imepatkana mnasahau wananchi, sijui 2025 watawaangaliaje mtaani.
Wewe ndie mpumbavu wa kiwango cha sgr,unadhibitisha utaahila wako kwa kuamini ujinga usiokuwepo,wewe unaongozwa na chuki au uzwazwa wa kitabia na kimaadili,Wewe ni mpumbavu na mzandiki!
Kwanini walipokuwa wakitekwa watu na kuuawa ulikuwa hutaki tume huru ya kuchunguza matukio hayo?
Iundwe kwanza tume ya kuchunguza aliyemteka Ben saanane, Azor gwanda, waliomshambulia Mh Lisu, uchunguzi juu ya zile maiti zilizokuwa zinaonekana fukweni zikiwa kwenye viroba pamoja na mateso waliyokuwa wakipewa wafungwa wa kisiasa kipindi cha magufuli.
Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya mwingine! Kama ni uchunguzi tutaanza kwa namba...
Nyie watu acheni ubaguzi na kujiona wa muhimu kuliko mliokuwa mkiwapoteza
Sijakwambia unitingishie makalioWewe ndie mpumbavu wa kiwango cha sgr,unadhibitisha utaahila wako kwa kuamini ujinga usiokuwepo,wewe unaongozwa na chuki au uzwazwa wa kitabia na kimaadili,
Hicho alichosema ilikuwa taarifa rasmi?Anajitoa ufahamu ,Mh Dr SSH alisema kabisa chanzo cha kifo chake.
Kwani Ben saa nane alikuwa ni nani hasa nchi hii?Ingependeza ianze kuundwa tume ya kuchunguza kupotea kwa Ben-Saanane! Aliempoteza nae kapotea....! Malipo ni hapa hapa