Si alikufa, akazikwa?
Iundwe kwanza ya kujua kuhusu yaliyompata Ben Sanane na nani mhusika mkuu.
Kwani Ben saa8 ni nani nchini?Si alikufa, akazikwa?
Iundwe kwanza ya kujua kuhusu yaliyompata Ben Sanane na nani mhusika mkuu.
Kwani Ben saa8 ni nani nchini?
Hicho alichosema ilikuwa taarifa rasmi?
Zile push up zilitikisa Wire muhimuZiundwe tume zifuatazo.
1. Tume ya Kifo Cha saanane na Azory.
2. Tume ya Kifo Cha Lwajabe.
3. Tume kuhusu kikosi Cha wasiojulikana.
4. Tume kuhusu fedha za China.
5. Tume kuhusu mashambulio ta risasi kwa Lissu.
6. Tume kuhusu uchakachuaji wa uchaguzi wa 2020.
7. Tume kuhusu fedha za BoT.
Hi Tume ya Magufuli haina maana alijulikana ana shida ya umeme wa moyo, hivyo muda wake ulifika maana mashine ilikuwa imeshachoka.
Kwani Ben saa8 ni nani nchini?
Umemsahau Ally Kessy na jamaa yake Ndugai mpaka hapo nadhani imeeleweka.Naunga mkono hoja! Halafu Luhaga Mpina awe Mwenyekiti na Biswalo Mganga awe Makamu wake!
Livingstone Lusinde awe Mjumbe, Joseph Kasheku Msukuma awe Mjumbe, Ole Sabaya awe Mjumbe, Chalamila awe Mjumbe, Jenister Mhagama awe Mjumbe, Tulia awe Mjumbe, na Phillipo Mpango awe ndiye mlezi wa hiyo Tume.
Raia wa hii nchi wako wengi, sasa yeye ana uspesho gani?Raia wa nchi hii?.
Hebu karudie kutizama vizuri hilo tangazo la kifo la Magufuli alilotangaza Samia.Ilikuwa taarifa rasmi Tena mbele ya umma kwenye tangazo ya Kifo Cha Magufuli.
Mimi ni raia wa kawaida kama wengine sina uspesho wowote, sasa Ben yeye ni nani nchi hii?Na wewe unavyopinga ni nani nchi hii?
Mimi ni raia wa kawaida kama wengine sina uspesho wowote, sasa Ben yeye ni nani nchi hii?
Tuanze ya risasi 38Habari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio wengi wanashuku kifo cha Hayati Magufuli na kudhani kuwa kifo chake kina hujuma.
Serikali iheshimu mawazo ya watanzania tunaotilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka tukio la ule Moshi uliomfuata Hayati Magufuli mkoani Mtwara alipokuwa kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazidi kuwa na mashaka kuwa huenda zile zilikuwa baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwasi wetu unakuwa mwingi baada ya Habari kuwa nyingi za Hayati Magufuli kafariki kabla hata ya Serikali kutangaza huku picha za Gari la maiti ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini kina Tundu Lissu na Kigogo walikuwa wanapata taarifa na walikuwa na uhakika kabisa kuwa mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kabla Magufuli yupo hai viongozi walianguka kama kuku tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa hamna kiongozi hata mmoja aliyekufa?
Huwezi kusema ule ulikuwa uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea hivi na Serikal kukaa kimya huwezi jua Baadaye itakuwa na madhara gani pia hutojua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so ni bora Serikali ilimalize kwanza ili suala kwani kila siku mambo yanazidi kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hiyo hapo chini.
Naam lakini Vipi kuhusu MKIRU?Ingependeza ianze kuundwa tume ya kuchunguza kupotea kwa Ben-Saanane! Aliempoteza nae kapotea....! Malipo ni hapa hapa
Sasa mbona tunaona anatajwa sana huyo Ben saa8 au Lissu tu? Kama Magufuli alidhuru na kuuwa watu wengi mbona kila siku tunasikia hao hao tu ndio maana nauliza kwani wao ni nani hapa Tz?Hakuna raia aliye bora au special kuliko mwingine nchini,binadamu wote ni sawa! Ingekuwa kuna mtu bora kuliko mwingine means wasingekuwa wanaumwa au kufa! Cheo ni dhamana hakikufanyi uwe special.
Sasa mbona tunaona anatajwa sana huyo Ben saa8 au Lissu tu? Kama Magufuli alidhuru na kuuwa watu wengi mbona kila siku tunasikia hao hao tu ndio maana nauliza kwani wao ni nani hapa Tz?
Unaposema binaadamu wote ni sawa ni sawa katika nini? Wote ni kundi moja la binaadamu ila hatupo sawa na ndio maana hata humu anatajwa sana Bensaa8 na Lissu kuliko wengine tungekuwa sawa tu basi tungekuwa tunataja wengine sio hao tu?ALikuwa anajibiwa huyo anayetaka uchunguzi wa Magu ufanyike ndiyo akauliza kwanini wasianze uchunguzi wa Ben au uchunguzi wa kupigwa risasi lissu? Kwani Jiwe ndiyo special? Alikuwa hataki double standard....Elewa Binadamu ni sawa usibabaike na vyeo au pesa na kujiona huna thamani kisa KAPUKU.
Unaposema binaadamu wote ni sawa ni sawa katika nini? Wote ni kundi moja la binaadamu ila hatupo sawa na ndio maana hata humu anatajwa sana Bensaa8 na Lissu kuliko wengine tungekuwa sawa tu basi tungekuwa tunataja wengine sio hao tu?
Ukitoa cheo,mali na kinga za kiserekali,Hakuna raia aliye bora au special kuliko mwingine nchini,binadamu wote ni sawa! Ingekuwa kuna mtu bora kuliko mwingine means wasingekuwa wanaumwa au kufa! Cheo ni dhamana hakikufanyi uwe special.
Ndio maana nimekuuliza usawa upi, sasa mimi sizungumzii huo usawa unaokusudia wewe.Kama ulisoma bailoji utajua usawa wenyewe ni upi.
Kuwa maarufu au kuwa na cheo hakuondoi usawa.