Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Nashukuru Watanzania wameshtuka na kuhoji. Ni swala la kimsingi kikatiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua walilo tenda. Uzuri mambo hujificha kwa mda badae yatajulikanaSio wazo baya lakini walioshika kijiti hawawezi kuruhusu ilo.
Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.
Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.
Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Mkuu katiba inagap linaloweza kusababisha ulichokiongea.Kwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.
Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.
Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Hizi ramli chonganishi zenu zitafanya mtu atumbuliwe soon.Kuna mtu kama sijakosea ni Chalamila (akiwa nje ya u RC) alisikika hivi karibuni akisema "...kwa katiba yetu ilivyo VP anaweza kumuua President ili yeye ashike nafasi hiyo"
Hii kauli ni kweli nishawahi kuisikia inawazisha.Kuna mtu kama sijakosea ni Chalamila (akiwa nje ya u RC) alisikika hivi karibuni akisema "...kwa katiba yetu ilivyo VP anaweza kumuua President ili yeye ashike nafasi hiyo"
Kuna uzi umo humu bado nautafutaHizi ramli chonganishi zenu zitafanya mtu atumbuliwe soon.
👆Hii kauli ni kweli nishawahi kuisikia inawazisha.
Hizi ramli chonganishi zenu zitafanya mtu atumbuliwe soon.
TETESI: Kanda ya ziwa inaandaa maandamano ya amani ya kuomba kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza kifo cha JaPMKwa kadri mambo yanavyoenda nashauri uwepo uchunguzi huru. Inawezekana tukawa tunamchukia Magufuli lakini tukiacha wawepo watu ambao wanaweza muondoa Rais madarakani kwa njia hiyo.
Basi tufahamu hatupo salama na hatutakuwa salama. Leo hii tunaweza furahi au kasirika lakini tuangalie siku zijazo. Nadhani ili watu wawe na amani inapaswa kuwepo Tume Huru ya mchanganyiko, watu ithibitishe kilichomuua Dr. Magufuli ni nini, kisha maisha yaendelee.
Lakini tuangalie sana ikiwa kunaweza kukawa na jamii fulani inataka watu wake tu ndiyo watawale, basi tusijedhani tutakuja kuwa salama au kuendelea nchini. Haijalishi dini na kabila zetu, haijalishi vyama vyetu.
Delila anafahamu kilichotokea na uchaguzi mkuu 2025 wananchi wanahitaji majibu ya kifo cha JPMKuna mtu kama sijakosea ni Chalamila (akiwa nje ya u RC) alisikika hivi karibuni akisema "...kwa katiba yetu ilivyo VP anaweza kumuua President ili yeye ashike nafasi hiyo"
Kama ni kweli naunga mkono hoja na mimi ntakuwa "mstari wa mbere" in Jiwes voice.TETESI: Kanda ya ziwa inaandaa maandamano ya amani ya kuomba kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza kifo cha JaPM
Sasa itakuwa zamu ya delila kuliwaKama alikufa natural death sawa,ila kama aliuawa aliyemuua alifanya kazi nzuri sana
Tunasubiri uchaguzi mkuu ukaribieMlikuwa wapi muda wote 🥴