Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,904
- Thread starter
- #41
Ahsante Mkuu kwa kunikumbusha
Chaburuma, mingoi, Nduka na Elungata might be siri kubwa?????? Ni kwa jinsi mjadala unavyoendelea. mawazo yangu lakini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Mkuu kwa kunikumbusha
Punguani sio tusi bali ni sifa anayoibeba binadamu na kumbuka kuwa kiongozi si sifa wala kigezo cha kuwa una akili kupita wengine au uko timamu yanaweza pia kuwa makosa ya wananchi kuchagua na ndio demokrasia.
Aweda utakuwa na matatizo unadhani Lisu ni mzima mpaka awe kiongozi wa chombo mhimu kama hiki.
Mwanao akikuita punguani utaridhika?
Aweda kama taifa hili lingekuwa na watu wa akili zako hakika mkuu tungepata shida sana kupata maendeleo na kupata viongozi wazuri,kweli lisu unaweza kumpendekeza kuwepo kwenye kupewa uongozi kwa jinsi alivyo muongo na mnafiki.Chaburuma, mingoi, Nduka na Elungata might be siri kubwa?????? Ni kwa jinsi mjadala unavyoendelea. mawazo yangu lakini.
Chaburuma, mingoi, Nduka na Elungata might be siri kubwa?????? Ni kwa jinsi mjadala unavyoendelea. mawazo yangu lakini.
Kwa nini mahakamani wanawajadili wenye makosa tatizo lako akili huna jk alikuwa anaimbia jamii kuwa lisu ni muongo,mnafiki,mzandiki,mzushi ili jamii ijue namna ya kuishi na mtu wa namna hiyo.Rais Kikwete, alama ya nchi, mkuu wa majeshi juzi alizungumza na watanzania wote kwa njia ya vyombo mbali mbali vya habari Radio, tv na mgazeti. Ktk hotuba hiyo Rais alitaji jina la Lissu karibia mara kumi. Je, ni kwa nini Rais amzungumzie mtu asiyemzima tena kwa kulihutubia taifa zima? Je, Rais ni mzima kwa kumjadili mtu asiyemzima??? Ni swali tu mkuu.
Rais Kikwete, alama ya nchi, mkuu wa majeshi juzi alizungumza na watanzania wote kwa njia ya vyombo mbali mbali vya habari Radio, tv na mgazeti. Ktk hotuba hiyo Rais alitaji jina la Lissu karibia mara kumi. Je, ni kwa nini Rais amzungumzie mtu asiyemzima tena kwa kulihutubia taifa zima? Je, Rais ni mzima kwa kumjadili mtu asiyemzima??? Ni swali tu mkuu.
Tupatie orodha hiyo ya majina kutoka gazeti la Rai ili tuyachambue vizuri.
Kuhusu Lissu,mimi naona ni bora aendelee kuwa mbunge wa kawaida tu katika hilo bunge ili aweze kusaidia kutoa mchango na mawazo yake na pia kuwa kinara wa kuhakikisha mambo yanakwenda sawa kama kawaida yake.Hapa ninamanisha kuomba miongozo,kutoa taarifa,utaratibu n.k.
Akiwa Spika hawezi ku-play part vizuri kama tunavyomjua.
Bunge la katiba bila Lissu kama mbunge ni sawa na chai bila sukari.
Mkuu naomba nikuombe radhi kwa kupingana na hoja yako kuhusu Lissu. Hatungekuwa hivi tulivyo kama kusingetokea mmoja akasimamia jambo kwa lengo la kutaka haki itendeke. Lugha uliyotumia ni lugha aliyotumia Mh. Rais kumpamba Lissu, kama Lissu ndivyo alivyo basi hakika Rais asingewaita Ikulu ili kuyamaliza. Kama siyo hawa wapinzania tunaowatukana leo lini ungejua kuwa kuna fedha za hawa walioko madarakani zimefichwa Uswiss? EPA ungeijuaje wewe kama siyo hao unaowatukana leo? Kuna mengi ningeweza kuyaandika hapa lakini nayaacha ili tusiwe wavivu wa kufikiri.
Tatizo hii hoja imenajisiwa na akina Lizaborn, Simuyu Yetu, Mingoi, Chabruma and Co. Imekuwa si hoja tena kwasababu hawa ma-jamaa They always DISCUSS PEOPLE .... Simple mind discuss people.
I rest my case, Mkuu Aweda hutaniona tena kwenye mjadala huu.
Simiyuyetu,mingoi,chaburuma= kaburi hai!!
Umenena vema kabisa,
Kwanza, tupate habari na majina ya watz waliopendekezwa na gazeti la Raia Mwema kikamilifu hapa; na
Pili, Tundu Lissu anastahili abaki kuwa Mbunge, kwa maana mchango na wajibu wake ni muhimu sana wakati wa bunge maalum la Katiba.
Period.