Napendekeza kabla ya match kuaza kati ya Yanga na CBE na ile ya Simba na Al Ahly zisimame kwa dk1 kama ishara ya kuwahenzi waTz wenzetu waliouwawa.

Napendekeza kabla ya match kuaza kati ya Yanga na CBE na ile ya Simba na Al Ahly zisimame kwa dk1 kama ishara ya kuwahenzi waTz wenzetu waliouwawa.

akatiwanya

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
674
Reaction score
868
Kama title inavojidadavua hapo juu:, Kuna haja ya kuwaonyesha Maharamia kupitia michezo hususani soka, ingawa na mingine hipo haja ya kufanya hivo pia kuwa tunapinga mauwaji yanayoendelea kila kukicha nchini, nazani kupitia soka na machezo mingine, itakua tumefikisha ujumbe kwa hawa nyonya damu. Naomba kuwasilisha;
 
Kamati yote ya Tifua Tifua ni Magamba kwahyo ilo wazo lako baki nalo.
 
Hivi washikaji mko serious au mnatania? Nendeni Muhimbili,.Amana, Mwanananyamala na hospital nyingine muone watu wanavyokufa Kila siku kwa maradhi mbalimbali.

Kila siku Kuna mauji yanatokea Kila mkoa. Juzi tu tumesikia mauji mfululizo mkoani Geita kwa sababu za kimapenzi.

Kwanini Kuna obsession kuwa na kifo Cha Kibao?

Au aliuawa ili watu wapate political mileage? Naanza kuingiwa na mashuka!
 
Kama title inavojidadavua hapo juu:, Kuna haja ya kuwaonyesha Maharamia kupitia michezo hususani soka, ingawa na mingine hipo haja ya kufanya hivo pia kuwa tunapinga mauwaji yanayoendelea kila kukicha nchini, nazani kupitia soka na machezo mingine, itakua tumefikisha ujumbe kwa hawa nyonya damu. Naomba kuwasilisha;
Lakini Raisi si alishasema kifo ni kifo tu?
 
Kama title inavojidadavua hapo juu:, Kuna haja ya kuwaonyesha Maharamia kupitia michezo hususani soka, ingawa na mingine hipo haja ya kufanya hivo pia kuwa tunapinga mauwaji yanayoendelea kila kukicha nchini, nazani kupitia soka na machezo mingine, itakua tumefikisha ujumbe kwa hawa nyonya damu. Naomba kuwasilisha;
Tuanze na Chacha Wangwe na mwangosi
 
Ikiwezekana wachezaji wote wavae Fulana zenye maandishi yanayosomeka free hostage under ss ili Kila anayefunga goli aoneshe maandishi hayo ili ulimwengu ujue kuwa Kuna utekaji
 
Haya matimu ya Simba na Yanga ndizo zimetufikisha hapa tulipo kwenye umasikini na mauaji.
 
Kwa viongozi wa hizo timu wenyewe walivyo walamba unyayo, uwezekano wa hilo kutokea ni ziro. Hawa watu wanawaonaga wanaolalamikia utekaji kama maadui
 
Back
Top Bottom