akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Wanaoendesha Siasa ni binadamu sa kama binadamu wanauwawa, hizo Siasa zitaendeshwa na nani mkuu?Hatutaki siasa kwenye mchez
Lakini Raisi si alishasema kifo ni kifo tu?Kama title inavojidadavua hapo juu:, Kuna haja ya kuwaonyesha Maharamia kupitia michezo hususani soka, ingawa na mingine hipo haja ya kufanya hivo pia kuwa tunapinga mauwaji yanayoendelea kila kukicha nchini, nazani kupitia soka na machezo mingine, itakua tumefikisha ujumbe kwa hawa nyonya damu. Naomba kuwasilisha;
Tuanze na Chacha Wangwe na mwangosiKama title inavojidadavua hapo juu:, Kuna haja ya kuwaonyesha Maharamia kupitia michezo hususani soka, ingawa na mingine hipo haja ya kufanya hivo pia kuwa tunapinga mauwaji yanayoendelea kila kukicha nchini, nazani kupitia soka na machezo mingine, itakua tumefikisha ujumbe kwa hawa nyonya damu. Naomba kuwasilisha;
Tuanzie hapa tulipopata wazo mkuuTuanze na Chacha Wangwe na mwangosi
Kivipi mkuuHaya matimi ya Simba na Yanga ndizo zimetufikisha hapa tulipo kwenye umasikini na mauaji.
Hakuna atakaye ishi milele hata hao wanao dhurumu wenzao haki ya kuishi watakufa tu tena cha ajabu vifo vyao huwa vya ghaflaHaiwezekani, kifo ni kifo tu
Ila mnapokea pesa za kisiasa kwa kila goli🤔Hatutaki siasa kwenye mchezo
Japo watasema siiihasaaa na michezo haviendani kama ilivyo bet na michezo.Wallace Karia apitishe hilo wazo? Nimekaa pale.