Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa. CCM waendelee na umilele wa chama chao lakini wasilazimishe KATIBA YA NCHI na umilele wao. Latina ya nchi inatambua uwepo wavyama vinginakila chama kina sera zake, ziheshimiwe.Yeye hajaongelea Katiba ya Nchi ameongelea Katiba ya Chama chao.
Pendekeza Tanzania kuwa Nchi ya KifalmeCCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dr Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
Rais analitumikia taifa ambalo linaongozwa na katiba ya nchi, Rais kafanya mambo yenye maslahi kwa nchi yake wakiwemo wasiokijua chama chake hicho, Bora ungeshauri tufanye mageuzi ya katiba sababu ndio mgongo wa Taifa zima na maamuzi yanayofanyika kutokana na katiba yanaathiri kila kada tofauti na katiba ya CCM ambayo si katiba ya nchi.Nazungumzia katiba ya CCM!
Hadi hapo tutapoondoa imani kwa watu na kujenga kifumo ambayo itaheshimiwa na yeyote ataeingia madarakani. Tutaendelea na haka kamchezo ka hatua mbili mbele hatua tatu nyumaMkuu hakuna jipya Linafanyika halijawai kuwepo au kufanyika,mh Mwinyi , marehem mkapa lazima waseme hivyo Nikimtoa mh kikwete,
Mh Mwinyi rais msahafu kaachiwa nchi ikiwa imara, kiviwanda, shilingi, ndege, n.k yeye ndo chanzo mpaka ana mkabidhi nchi Mkapa ambaye pia aliendeleza ubinfsishaji usio na tija na kupeleka nchi kwenye shimo , na madhara yake ndo mpaka mda huu yanaendelea,
Wangine wanaongezea, na kurekebisha ila sio kwamba Kuna kipya hakijawai tokea tz, na KWA taifa Kama letu KWA umri wake hakuna kiongozi anaweza sema yeye ndo kalijenga zaidi kuliko mwingine, TAIFA, ni Kama mtoto, hupitia hatua mbalimbali mpaka kufanikiwa
Tatizo linalotukabili ni kukosa dila mahalum ya taifa kwamba kila kiongozi hawapo pale juu ajikite kwenye dila husika ,sio kila ajae aje na mfumo wake,maono yake,na utashi wake nini afanye ,hii Kama taifa hatuwezi songa mbele,kiongozi huyu atengeneza hili, akija mwingine anaacha anafanya hivi ,na ndo maana tuko hapa kwamba mwalim aliliacha taifa pazuri, waliofuata wakavuruga hasa awam mbili zilizofuata, so JK ,JPM ,wanacheza mziki ambao sio dhambi zao bali za awam zilizotangulia,
Hata hivyo sio kibali kwamba jpm aongezewe mda,maana pia yapo mengine kajitahidi na mengine hamna ,so lazima kupata vichwa vipya,
aibu yakoCCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dkt. Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!
Mzoga wako umebakia mifupa tu now.CCM ni chama dola.
CCM ni chama tawala wala hilo halina ubishi.
CCM ni chama mbeba maono wa taifa hili la Tanzania.
Dkt. Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi yetu ameonyesha uwezo mkubwa sana katika kusimamia misingi ya chama na uzalendo kwa ujumla.
Kwa mageuzi makubwa anayoendelea kuyafanya ndani ya chama ambayo yameonyesha ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya taifa, napendekeza katiba ya CCM ifanyiwe marekebisho ili nafasi ya mwenyekiti isiwe na ukomo.
Hii itatoa fursa kwa mwenyekiti Magufuli kuendelea na uongozi hadi atakapoamua kung'atuka kama alivyofanya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Maendeleo hayana vyama!