Napendekeza Katiba ya CCM irekebishwe ili Dkt. Magufuli aendelee kuwa Mwenyekiti hadi atakapoamua kung'atuka kama Nyerere

Nami nakuunga mkono kuliko kuongeza muhula mwingine wa urais bora awe Mwenyekiti wa maisha wa CCM
 
Yeye hajaongelea Katiba ya Nchi ameongelea Katiba ya Chama chao.
Hapo sawa. CCM waendelee na umilele wa chama chao lakini wasilazimishe KATIBA YA NCHI na umilele wao. Latina ya nchi inatambua uwepo wavyama vinginakila chama kina sera zake, ziheshimiwe.
 
Pendekeza Tanzania kuwa Nchi ya Kifalme
 
Lazima chama kikibadili katiba yake basi ,huku kungine rahis tu kama wanasukuma mlevi.na ndicho kitafata hao akina butiku wanasema tu
 
Nazungumzia katiba ya CCM!
Rais analitumikia taifa ambalo linaongozwa na katiba ya nchi, Rais kafanya mambo yenye maslahi kwa nchi yake wakiwemo wasiokijua chama chake hicho, Bora ungeshauri tufanye mageuzi ya katiba sababu ndio mgongo wa Taifa zima na maamuzi yanayofanyika kutokana na katiba yanaathiri kila kada tofauti na katiba ya CCM ambayo si katiba ya nchi.
 
Tunataka rais wetu ajaye tumpe na uenyekiti wa chama, Magufuli akapumzike chato. Hatuwezi ruhusu Rais wetu awe chini ya mtu mwingine chamani.
 
Hadi hapo tutapoondoa imani kwa watu na kujenga kifumo ambayo itaheshimiwa na yeyote ataeingia madarakani. Tutaendelea na haka kamchezo ka hatua mbili mbele hatua tatu nyuma
 
aibu yako
 
Mzoga wako umebakia mifupa tu now.

Unamuabudu vipi mwanadamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…