FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #181
Hizo pesa za tablet shs.900k kila moja, mara watu laki 6, unajua nani anachukua? Hakuna jata 100 inakuja mtaaniWatanzania hampendi kuona pesa zikiingia mtaani umma wa watanzania wafaidi.
Ooooh Mara pesa hakuna mtaani[emoji28][emoji28][emoji28]