Napendekeza kazi za kuhesabu idadi ya watu (Sensa 2022) ifanywe na wajumbe wa nyumba 10 , pesa zitakazookolewa zikajenge flyover TAZARA

Kabisa mkuu.
Serikali Ina hela...
Jamaa anataka kuwazibia rizki graduates kibao walio mtaani na wana uhitaji wa hiyo hela.
Hizo pesa ni bora wawape mikopo hao graduates, lakini sio kuchezea resources at such a painful scale!!
 
Mjumbe ashindwe kujaza fomu? Seriously, ukizingatia ndicho anachofanya daily?
 
Pesa zitafutwe na watanzania ziende zikajenge fly over Dar, si bora watu walambe usali tu kuliko huu ujinga uliouwaza.
Makontena yanayobebwa na Malorry yanayopita hapo yanapeleka mizigo wapi kama
Sio Tanzania nzima? Kwani ukilegeza huo ubongo utapungukiwa na nini?
 
Hizo pesa ni bora wawape mikopo hao graduates, lakini sio kuchezea resources at such a painful scale!!
Serikali mara ngapi imekuwa ikichezea pesa?
Mtu anaruka na chopa huko bila hata sababu za msingi ..
Wanalipana Hela ya kufuru wenyewe Kwa wenyewe...hizo hazikuumi mkuu ila zinakuja kukuuma hela watakaopata graduates wenye hali ngumu mtaani!
 
Hiyo Kazi atafanya pek yake? Yaani watu wa kata au kijij kizima au mtaa atafanya afisa mtendaji peke yake?
Kazi inafanywa na wajumbe, yeye ni kuzidigitize (kwa PC/Tablets), kisha atazituma kwa ofisi ya sensa ya wilaya/mkoa. Hata akaifanya kwa wiki 2, hakuna tatizo, atapewa posho kidogo ya overtime.
 
Kwani wewe ulitaka afanye kwa siku ngapi? Kitu kinafanyika mara moja kwa miaka 10, kuna shida gani hata akafanya mwezi mzima? Ofcourse atapewa posho kidogo ya kifuta jasho kwa ajili ya extra work
 
Serikali mara ngapi imekuwa ikichezea pesa?
Mtu anaruka na chopa huko bila hata sababu za msingi ..
Wanalipana Hela ya kufuru wenyewe Kwa wenyewe...hizo hazikuumi mkuu ila zinakuja kukuuma hela watakaopata graduates wenye hali ngumu mtaani!
Mi zote huwa zinaniuma, ila hizi ni nyingi sana, karibu trillion 1 zinatupwa shimoni hivi hivi tunaziangalia kweli?!
 

Brooooo mfano Chet cha form four una F hesabu kigezo piaaa ujue huna so tuliaaa tuuze ubuyu
 
Umejibu kitaalamu sana.

Huwezi kuwapa hao wajumbe kazi ya kitaalamu.

Hawataweza hata kuuliza maswali ya ku-capture hizo variable zote.
 
Naunga mkono hoja kwa 100%
 
Umejibu kitaalamu sana.

Huwezi kuwapa hao wajumbe kazi ya kitaalamu.

Hawataweza hata kuuliza maswali ya ku-capture hizo variable zote.
Wasiweze vipi? Kwani wanamtindio wa ubongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…