Napendekeza kuanzishwa kwa kampuni binafsi ya CCTV Surveillance kwa jiji la Dar es salaam

Napendekeza kuanzishwa kwa kampuni binafsi ya CCTV Surveillance kwa jiji la Dar es salaam

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kampuni hii itaomba vibali vyote kutoka mamlaka husika kwa ajili kufunga Camera katika sehemu zote za makutano ya barabara (Junctions), mitaa mikubwa ya wilaya zote 5 hasa hasa katikati mwa mji, Sinza, Kinondoni, Masaki Nk.

Linapotokea tukio lolote, mfano wizi wa vifaa vya gari, wizi wa gari, utekaji, mauaji au tukio lingine lolote ambalo linahitaji forensics zifanyike, polisi au muhusika meingine yetote kwa kupitia polisi wataomba footage kwa ajili ya kufanya analysis.

Footage ya kuanzia dakika 1 kushuka chini itakuwa laki 1, ya dakika 2 kushuka chini itakuwa laki 2, and so on.

Kadri kampuni inavyoimarika, itaweza kufunga CCTV hadi katika vichochoro vya Tandale kwa mfuga mbwa, na itaweza kudhibiti hata wale panya road.

Napendekeza iitwe, ‘Total sight’ na iwe na logo ya jicho;
Nakaribisha maoni

=========================
Update: 04/09/2023

==========================
Update: 04/04/2024


=========================
Update: 01/08/2024


View: https://www.instagram.com/p/C-IHhW8CKMw/?igsh=cjFqdjZ5dGNva3M2
 
Data itakazokuwa inakusanaya zita dhibitiwa vipi zisitumike kwenye mikobo isiyo salama ??
 
Cctv zipo kila jiji la dar had daraja zote za dsm sijui fly over zina cctv
 
Kampuni hii itaomba vibali vyote kutoka mamlaka husika kwa ajili kufunga Camera katika sehemu zote za makutano ya barabara (Junctions), mitaa mikubwa ya wilaya zote 5 hasa hasa katikati mwa mji, Sinza, Kinondoni, Masaki Nk.

Linapotokea tukio lolote, mfano wizi wa vifaa vya gari, wizi wa gari, utekaji, mauaji au tukio lingine lolote ambalo linahitaji forensics zifanyike, polisi au muhusika meingine yetote kwa kupitia polisi wataomba footage kwa ajili ya kufanya analysis.

Footage ya kuanzia dakika 1 kushuka chini itakuwa laki 1, ya dakika 2 kushuka chini itakuwa laki 2, and so on.

Kadri kampuni inavyoimarika, itaweza kufunga CCTV hadi katika vichochoro vya Tandale kwa mfuga mbwa, na itaweza kudhibiti hata wale panya road.

Napendekeza iitwe, ‘Total sight’ na iwe na logo ya jicho;
Nakaribisha maoni
Kabisa na hawa Gardaworld wanaweza
 
Wazo nzuri sana ila bado sana kwa jiji la Dar lililojengwa bila mpangilio mzuri,na tuelewe hizi cctv zinatakiwa ziwe supported na idara nyingi ikiwemo police,uokoaji na armed response, safari bado ipo ndefu mno
 
Wazo nzuri sana ila bado sana kwa jiji la Dar lililojengwa bila mpangilio mzuri,na tuelewe hizi cctv zinatakiwa ziwe supported na idara nyingi ikiwemo police,uokoaji na armed response, safari bado ipo ndefu mno
Tuanze tu kidogo kidogo, tunaweza anza Sinza kama pilot project
 
Napendekeza iitwe, ‘Total sight’ na iwe na logo ya jicho;
Nakaribisha maoni

Wazo ni zuri ila labda uwe unapendekeza kampuni iwe ya members wa humu jukwaani hilo jina na logo vinaweza kujadiliwa lakini kama ni kampuni binafsi huko kitaa, basi jina na logo ni jukumu la mwenye kampuni kuamua iitweje na logo iweje,
 
Wazo ni zuri ila labda uwe unapendekeza kampuni iwe ya members wa humu jukwaani hilo jina na logo vinaweza kujadiliwa lakini kama ni kampuni binafsi huko kitaa, basi jina na logo ni jukumu la mwenye kampuni kuamua iitweje na logo iweje,
Miki nimevutiwa na jina la ‘Total sight’ na logo ya ‘Jicho’
 
Kesi yake ilikua kubwa sana, wizara ya mambo ya ndani chupu chupu watu kuadabishwa sema ikazimwa kimya kimya...

Sababu Ili husisha viongozi wakubwa wa polisi...
Ndio ile iliyohusisha vitambuzi vya alama za vidole (finger print machines)? Ambapo Said Lugumi alihusika enzi za Jakaya Kikwete?
 
Back
Top Bottom