igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Punguzeni negativity, hivi kama ingekuwa watu wanawaza nilinunua bodaboda au gari itaibiwa tingefika kweli?Wezi wa kibongo...ukifunga tu siku ya pili watu wameenda kuuza vyuma chakav
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzeni negativity, hivi kama ingekuwa watu wanawaza nilinunua bodaboda au gari itaibiwa tingefika kweli?Wezi wa kibongo...ukifunga tu siku ya pili watu wameenda kuuza vyuma chakav
Punguzeni negativity, hivi kama ingekuwa watu wanawaza nilinunua bodaboda au gari itaibiwa tingefika kweli?
Mbona taa za barabarani kule juu ya milingoti haziibiwi wakapime chuma chakavu? Kumbuka hizo ni smart cameras zenye GPS ndani, yaani unakuwa unajua exact location ya Camera, hata ukiibaWe funga afu tione
Watu mnachekesha sana. Mambo madogo kabisa ya msingi yametushinda mnakimbilia ku-sugest mambo yaliyotuzidi kimo. Do the basic first!Serikali itangaze tender haraka kama itawapendeza
Wala hayajatuzidi kimo, maana hata National Data Centre watapata mteja wa kudumu, na Data zitakuwa salama zikiwa mikononi mwa NDC badala ya kuunda data base mpya kwa ajili hii tu..Watu mnachekesha sana. Mambo madogo kabisa ya msingi yametushinda mnakimbilia ku-sugest mambo yaliyotuzidi kimo. Do the basic first!