Sema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025Msomi wa nini?,hii nchi urais sio wa kurithishana kama usulutan,kamwambie tumekataa
Umelipwa sh ngapi nami niwe kwenye payroll tuanze mapambio ya kusifia bwana mkubwa, nina uhakika umelipwa huwezi komaa mishipa bure hapaSema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025
Endelea kumfuatilia kijana huyu. Ni kiongozi makini sana.Mambo mengine kabla ya kupost uwe unashaurisha watu wanaokuzunguka.
Umeandika pumba tu hapa, Huyu hata ukatibu wa wizara hafai.
Kama atakuwa na sifa mujarab kama za mwenzie hakuna shida.Baada ya hapo afuate Jesca Magufuli.
Kama atakuwa na sifa mujarabu kama za mwenzie hakuna shidaBaada ya hapo afuate Jesca Magufuli.
"madawa ya kulevya" ndio nini au ulitaka kusema "dawa za kulevya?" Kama la pili ni sahihi basi unakosea. Hata baba yake akitaka Urais 2005 tuliimbiwa sana ni mgonjwa wa Ukimwi lakini ametuongoza kwa salama sana.Unataka wote humu tuuze madawa ya kulevya
Kwani amewahi kuongoza lini hayo yakitokea? Tazama Zanzibar chini ya Hussein itakavyopaa. Kiongozi huandaliwa. Mtazame Kenyatta.Madawa ya kulevya kila kona
Majenereta ya umeme kila duka
Kuunda makampuni ya kuiuzia umeme TANESCO
Ufaulu sekondari mpaka division six
Wake zetu kwenda kusuka nywere marekani
Kuondoa machinga kwa kuwa ni uchafu
Aisee naunga mkono hoja.
Amefanya kitu gani cha maana.Sema umekataa wewe usiwasemee wengine. Sioni kijana wa kushindana na Ridhiwani katika medani ya uongozi. #RK2025