Napendekeza kwenu kuwa Ridhiwani Kikwete atatufaa sana Urais baada ya Magufuli

Napendekeza kwenu kuwa Ridhiwani Kikwete atatufaa sana Urais baada ya Magufuli

Huyu riziwani mpiga deal au Mwingine?

Basi tutamsimamisha Daduley Mbowe ashindane nae.
 
Mambo mengine kabla ya kupost uwe unashaurisha watu wanaokuzunguka.

Umeandika pumba tu hapa, Huyu hata ukatibu wa wizara hafai.

Hata huo ubunge anaupata kwavile baba yake yuko hai!!!
 
Kwangu Magufuli aongezewe walau miaka kumi ili amalizie hizi mega project mana zina manufaa mapana kwa Taifa letu

Kama hii miradi inatumia fedha za kodi hivyo hata yeye akimaliza muda wake kodi itaendelea kulipwa na miradi itaendelea!
 
Back
Top Bottom