Napendekeza nguzo zote za umeme zichukuliwe GPS coordinates, na zifungwe sensor , taarifa zote zilishwe kwenye mfumo wa Geomap ya Tanesco.

Yaan hapo kwanza watakwambia wanataka trillion 15 za awali ili kufanya implementation wakishazila zikikata hawajafanya kitu wanaomba waongezwe trillion 10 kufumua mfuko wa zamani chakavu, ni mwendo wa Kula hela tu
Ni kupata watendaji makini tu, sio unamuokota maharage huko unamtupa sehemu nyeti kama hiyo na bla bla za sayansi...
 
SIO KWA TANZANIA HII MKUU NCHI BADO IPO NYUMA SANA WATU WAKE WENGI NI WAJINGA MNO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wanamaliza kilomita ya mwisho kwa guta ili waonekane eti wanafanana na wananchi
 
GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL.

ISRAEL FOREVER.

ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE.
 
Kumbe hizi nguzo zina sensor zimefichwa sio? Pia kwanini wankuuliza mtaa badala ya kuuliza code number ya nguzo ili waitrack GPS coordinate yake?
Kila anaeweka line mpya ya umeme zile nguzo na mita yake lazima zichukuliwe GPS coordinate zake,hii lipo muda mrefu sana.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Ni wazo zuri tanesco wanapaswa wajenge substation za kutosha
 
Hii Tanzania ambayo ukienda kuomba umeme wanakwambia hamna nguzo wakati huo huo kwenye vituo vyao nguzo zinaozea chini. Lakini wanasahau kuwa nchi imejaa vichaka amabavyo vimefurika miti kama ekaritus ambazo huitajika kwa ajili ya kazi ya kusambaza umeme
 
Mkuu

Nguzo kama nguzo haina uhusiano wowote na umeme,ni mechanical pivot ya ku-support wires.

Wires ndio zinabeba umeme,na since kuna electrical continuity tayari kuna system ya kuona kila kitu kupitia huo mwanya wa continuity kwa technology inaitwa scada

Infact scada ya kuona network nzima ni economically feasible kwa network ya nguzo za kuanzia 400kV to walao 33kV.

Kwenye nguzo za 33kV mtaani kuna fiber optic cable imepita juu katika across the whole network kukusanya ujinga wote

Wire ukikatika kokote kwenye nguzo yeyote mtaani popote kwenye mfumo wa 400kV mpaka 33kV inaonekana vizuri tu

Nguzo za mitaani sio asset za maana kiivyo kuweka huo mfumo wa mabilioni ya pesa kiasi hicho

Vitu ambavyo ni worthy assets ni labda transformer kubwa hata za chini,meter ya kupima umeme majumbani,substations,etc...sio nguzo

Nguzo sio asset ya msingi kiivyo.....kwanza network nzima inaonekana physically kwenye computer za scada centre

Nadhani bado sijaelewa unataka nini hasa chenye kuleta economic sense na kinarudisha hiyo investment.

Nguzo?Ambazo ni just mechanical pivots?Nah

I just recalled my undergrad electrical class here
 
Hahaaaa... Hivi ile issue ya miaka ya nyuma ya kuweka mifumo ya computers kwenye vituo vyote vya polisi vya wilaya ili kuunganisha kwenye mtandao nchi nzima liliishia wapi vile???
Polisi na bunduki na computer vituko vitupu ujue hata wale wa cyber crime tangu wapewe machine hawajawahi kamata hata mhalifu mmoja wanazitumia kucheza karata tu
 
Wazo zuri
Ila upo tanzania mkuu[emoji28][emoji28]

Mcheki manager wa umeme china,anaitwa kim yu nahman

Huku we waambie tu ufisadi[emoji23]
Eti Ila upo Tanzania mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] what happened to Tanzania?
 
Kuna SCADa inafanya yote hayoo.....kwa Grid yoote....kinachofuata kurudi kwenye distri bution piaaa.....mawazo mazuri piaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…