Napendekeza njia hii itumike ili kuimarisha maadili mema nchini

Napendekeza njia hii itumike ili kuimarisha maadili mema nchini

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Badala ya kuotesha majani halafu tuzuie mbuzi wasile ni bora tusioteshe majani ili hao mbuzi wasipate pakula

Badala ya kuweka mianya ya rushwa kupitia katiba halafu tuzuie viongozi wasile rushwa ni bora tukaziba mianya ili hao viongozi wasipate pakulia hiyo rushwa

Badala ya kuingiza mitumba ya kubana miili ya dada zetu na kuwaweka uchi halafu tuzuie vijana wasibake na kununua wakaaji uchi(wauzaji) ni bora tuzuie hiyo mitumba ili ubakaji upungue

Na mifano mingine kama hiyo hapo juu napendekeza jamii kwa ujumla hasa wapenda maadili na kuchukizwa na mmomonyoko huu wa maadili kwa vijana na baadhi ya wazee njia hii itumike italiponya taifa

Nawasilisha
 
Badala ya kuotesha majani halafu tuzuie mbuzi wasile ni bora tusioteshe majani ili hao mbuzi wasipate pakula

Badala ya kuweka mianya ya rushwa kupitia katiba halafu tuzuie viongozi wasile rushwa ni bora tukaziba mianya ili hao viongozi wasipate pakulia hiyo rushwa

Badala ya kuingiza mitumba ya kubana miili ya dada zetu na kuwaweka uchi halafu tuzuie vijana wasibake na kununua wakaaji uchi(wauzaji) ni bora tuzuie hiyo mitumba ili ubakaji upungue

Na mifano mingine kama hiyo hapo juu napendekeza jamii kwa ujumla hasa wapenda maadili na kuchukizwa na mmomonyoko huu wa maadili kwa vijana na baadhi ya wazee njia hii itumike italiponya taifa

Nawasilisha
Mbona una mmomonyoko wewe?
 
Back
Top Bottom