Tuletee kwanza pendekezo la JokateWakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.
Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.
Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.
Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.
Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.
mama SASHA oyeeeee.
Mkuu Umechukua Wazo Langu, mm Ndio Mtu Wa Kwanza Kumpa Samia aka Ya Jina La SASHAWakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.
Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.
Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.
Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.
Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.
mama SASHA oyeeeee.
Mama tayari tushampa jinaUnataka kumpa mama jina la kutunga!!!?
wacha zako mama ni SSH
Baba JPM halikai halina swagg.....Mama tayari tushampa jina
Ila kwa mwendazake hata kwa bastora nisingekubali kumuita baba jpm
Una uhakika ume quote mhusika baba?Kakutuma nani kwani wewe baba yake yeye au mumewe? Yeye mbona ameridhika na SSH? Hilo SASHA kampe binti yako mwanangu.
Daaah...naikumbka sana hiiInaonekana unaamini sana katika majina kumcontrol mtu.
Nipende kukupa maneno ambayo ndugu Obama aliyasema katika moja ya hotuba zake kali sana.
Alisema ya kuwa "your name is not a barrier to success"
Imepita hiyooo!! Imeisha hiyooo 🙌👏💪Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.
Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.
Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.
Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.
Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.
mama SASHA oyeeeee.
Majina watatoa Wajumbe wa Halmashauri kuu kule BungeniWakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.
Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.
Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.
Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.
Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.
mama SASHA oyeeeee.
Siyo matanga ni MATAGA,jaribu kuwa makini unapofuatilia mambo!Kwani matanga wao wanasemaje kuhusu hili?