Napendekeza rasmi jina la ufupisho la mama liwe SASHA

Napendekeza rasmi jina la ufupisho la mama liwe SASHA

Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Tuletee kwanza pendekezo la Jokate
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Mkuu Umechukua Wazo Langu, mm Ndio Mtu Wa Kwanza Kumpa Samia aka Ya Jina La SASHA
 
Inaonekana unaamini sana katika majina kumcontrol mtu.

Nipende kukupa maneno ambayo ndugu Obama aliyasema katika moja ya hotuba zake kali sana.

Alisema ya kuwa "your name is not a barrier to success"
Daaah...naikumbka sana hii
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Imepita hiyooo!! Imeisha hiyooo 🙌👏💪
 
Wakuu napendekeza jina rasmi la mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan liwe SASHA kama ambavyo watangulizi walikuwa na ufupisho.

Hayati Magufuli aliitwa kwa kifupi JPM yaani John Pombe Magufuli.

Mzee Kikwete aliitwa JK yaani Jakaya Kikwete.

Sasa na mama naomba Tumuite SASHA ikimaanisha
SA = Samia
S = Suluhu
HA = Hassan.

Hii SASHA ni rahisi kuitamka na kuiandika kulika SSH ambayo ni ngumu kuitamka na haileti utamu ule wa uwepesi kama Jeikei ama Jeipiem.

mama SASHA oyeeeee.
Majina watatoa Wajumbe wa Halmashauri kuu kule Bungeni
 
Mama Samia au Madam Prwsident inatutosha sana.
 
Back
Top Bottom