Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.
==========================
Kwa kuboresha, mfumo ufungiwe AKILI MNEMBA (AI) ili kuweza kujibu maswali ya wanafunzi kwa urahisi na ufanisi.

==========================

Update: 08/02/2024
Wazo limefanyiwa kazi vizuri kabisa.
0E7B0948-E5AC-4776-889B-235CC7A4B079.jpeg


==========================
Update: 10/02/2024
927C9338-E230-498A-8DFA-DF6AA0967A6B.jpeg
 
Kwa lugha ingine hutaki serikali iajiri ..
Halafu later mnasahau mnailaumu serikali Kwa kutoajiri....
Which is which?
Lini mimi nimeshauri serikali iajiri, we bro, muogope Mungu

 
Learning Should Include 3 Mediums

Sight (Visual Aids)
Sound /Listening(auditory),
and touch /Doing things Physically (kinesthetic)

Kimoja sio mbadala wa kingine na bado AI haijawa na capacity kiasi cha kuona mwanafunzi gani anahitaji msaa zaidi, yupi yupo bored na wapi anahitaji kuchekesha na wapi anahitaji kurudia.....

Lakini ukinibana sana Mwalimu ni kama Msaidizi kujifunza ni mtu mwenyewe kwenda extra mile kwahio ni kujitahidi kuwa na culture ya watu kujifunza / kuhoji na kuchunguza

 
Wewe una mavi kichwani badala ya akili. Pia una roho ya kimaskini iliyojaa chuki bila sababu za msingi.
Kutoa lugha chafu bila hoja yeyote ni dalili mbaya sana, maana hata kenge angeweza kutoa hii comment bila kuwa na hoja yeyote ndani yake.
 
Kutoa lugha chafu bila hoja yeyote ni dalili mbaya sana, maana hata kenge angeweza kutoa hii comment bila kuwa na hoja yeyote ndani yake.
Ukiandika upumbavu tutakujibu upumbavu. Siwezi kuumiza akili kukujibu wewe mpuuzi uliyeandika kwa chuki kabisa dhidi ya waalimu.
 
Na wanafunzi wakitaka kuuliza swali wanamuuliza nani?

Hii nayo kali ya mwaka!
Video itakuwa very comprehensive, itakuwa na section ya ‘FAQ’ (Frequently Asked Questions), yaani yale maswali ambayo from experience huwa yanaukizwa sana na wanafunzi, yanajibiwa humo humo kama sehemu ya kipindi. Pia Tablet itafungwa na ‘app’ inaitwa ‘Chat GPT’, hii ni artificial intelligence na ni bure kabisa. Inaweza kujibu kuliko binadamu. Download hiyo app uone maajabu.

Besides ni bora hii angalau anafundishwa comprehensively, sasa mwalimu ambaye haingii kabisa darasani atamuuliza hilo swali wakati hata darasani haingii?
 
Learning Should Include 3 Mediums

Sight (Visual Aids)
Sound /Listening(auditory),
and touch /Doing things Physically (kinesthetic)

Kimoja sio mbadala wa kingine na bado AI haijawa na capacity kiasi cha kuona mwanafunzi gani anahitaji msaa zaidi, yupi yupo bored na wapi anahitaji kuchekesha na wapi anahitaji kurudia.....

Lakini ukinibana sana Mwalimu ni kama Msaidizi kujifunza ni mtu mwenyewe kwenda extra mile kwahio ni kujitahidi kuwa na culture ya watu kujifunza / kuhoji na kuchunguza

Unapokuwa na tatizo, huna laxury ya kuchagua sana, unafanya kile kinachowezekana the best you can.

Kwani mara ngapi tunasikia watu wanafanya ‘Alternative to practical’, kwani wanapenda?
 
Back
Top Bottom