FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #21
Kuleta dhihaka bila hoja yeyote ni kujiweka level moja na kenge, maana hata kenge angeweza kucomment hiki ulichopost bila hoja yeyote ndani yake.Hapo unakuta kuna watu wanakuita baba au mama
Ukienda kwa mfumo huo serikali haitoajiri mtumishi yeyote siyo nurse,trafiki,askali na hata mahakimu itatumika projector kuamua kesi zilizo wasilishwa mahakamani,Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.
kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.
Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.
Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vioindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.
Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.
Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!
Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.
Najua nimeeleeweka.
Hapa unakuwa huna tofauti na mbwa, kama umekerwa kweli na hoja yangu, basi pangua hii hoja kwa hoja, vinginevyo utakuwa sawa na mbwa tu, maana hata mbwa anaweza kunijibu kwa kubweka tu, tayari nalo linakuwa ni jibu. Jitofautishe na mbwa, bweka mibweko yenye hoja ndani yake.Ukiandika upumbavu tutakujibu upumbavu. Siwezi kuumiza akili kukujibu wewe mpuuzi uliyeandika kwa chuki kabisa dhidi ya waalimu.
Kazi kweli kweli .Kwa lugha ingine hutaki serikali iajiri ..
Halafu later mnasahau mnailaumu serikali Kwa kutoajiri....
Which is which?
Acha upuuziHapa unakuwa huna tofauti na mbwa, kama umekerwa kweli na hoja yangu, basi pangua hii hoja kwa hoja, vinginevyo utakuwa sawa na mbwa tu, maana hata mbwa anaweza kunijibu kwa kubweka tu, tayari nalo linakuwa ni jibu. Jitofautishe na mbwa, bweka mibweko yenye hoja ndani yake.
Hapo tatizo ni lipi na linatatuliwa vipi ? Au ni mwendelezo wa quantity (so called wasomi ni wengi) wakati quality (nothing to show for it) zaidi ya vilemmas (wanakariri)Unapokuwa na tatizo, huna laxury ya kuchagua sana, unafanya kile kinachowezekana the best you can.
Kwa matusi haya ndiyo unashauri serikali isiajili waalimu na madaktari?.🤔🤔🤔Kuleta dhihaka bila hoja yeyote ni kujiweka level moja na kenge, maana hata kenge angeweza kucomment hiki ulichopost bila hoja yeyote ndani yake.
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.
kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.
Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.
Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vioindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.
Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.
Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!
Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.
Najua nimeeleeweka.
Haya mkuuSi nimesema kuhusu option ya ‘Solar’, kwanini una comment bila kusoma?
Watanzania wako milioni 60 walimu wako almost 200kLini mimi nimeshauri serikali iajiri, we bro, muogope Mungu
Ifike mahala Watanzania tuache kusomea ualimu, supply imekuwa kubwa mno kuliko demand
Tukubaliane na hali halisi, walimu wanaosubiri ajira mtaani ni wengi mno, na ambao wako mbioni kuhitimu na ni wengi, maelfu kwa maelfu, ukijumlisha na walio mtaani wanaweza kufika makumi ya maelfu. Tusipochukua hatua hii, ipo siku idadi ya walimu itakuwa sawa na wanafunzi. Hivyo basi tujiulize...www.jamiiforums.com
Baba kilaza tuHapo unakuta kuna watu wanakuita baba au mama
Watakuelewa Watu wachache sana katika hili. Mara nyingi hoja zako uko straight foward it means hutak blah blah wala kona kona. Kwa nature ya Waswahili watakuona hufai au mchawi lkn deepside ushauri wako kuna pahala unafanyakazi na unatija kwenye baadhi ya maeneo na tasniaNilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.
kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.
Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.
Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.
Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.
Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!
Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.
Najua nimeeleeweka.
Anyway, tuache muda ukifika na wakatekeleza, as they always do, nitarudi kuweka update. Kwa sasa ngoja nifanye yangu tu.Watakuelewa Watu wachache sana katika hili. Mara nyingi hoja zako uko straight foward it means hutak blah blah wala kona kona. Kwa nature ya Waswahili watakuona hufai au mchawi lkn deepside ushauri wako kuna pahala unafanyakazi na unatija kwenye baadhi ya maeneo na tasnia