Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

Watu Kama nyiny mkiwa viongozi ajira zitafutika kabisa mnaroho za ubinafs sana
230A5573-3FB8-48B1-82CC-0009C535898B.jpeg
 
Mkuu uliupiga mwingi, wazo zuri, wanahitaji internet yenye kasi.

Kwa technology hii, starlink ingeruhusiwa, hata vijijini ndani kabisa wangetumia hizi smart boards na wanafunzi wangejifunza vizuri.

Walimu wengi ni vilaza, sio kidogo sana.
 
Watakuelewa Watu wachache sana katika hili. Mara nyingi hoja zako uko straight foward it means hutak blah blah wala kona kona. Kwa nature ya Waswahili watakuona hufai au mchawi lkn deepside ushauri wako kuna pahala unafanyakazi na unatija kwenye baadhi ya maeneo na tasnia
6F1BBF79-00AD-4007-8F2F-A17ED891FDE1.jpeg
 
Mkuu uliupiga mwingi, wazo zuri, wanahitaji internet yenye kasi.

Kwa technology hii, starlink ingeruhusiwa, hata vijijini ndani kabisa wangetumia hizi smart boards na wanafunzi wangejifunza vizuri.

Walimu wengi ni vilaza, sio kidogo sana.
Ngoja tuone haya majaribio yataleta majibu gani
 
Wajinga wenzako watakusifia Kwa ujinga wako

Ikiwa vyuoni Kuna projector na mfumo huo hauwezekani itakuwa mashuleni?

Ikiwa umeme Dsm ni changamoto itakuwa huko mikoani tena ndani ndani? Au projector zitakuwa Zinatumia mikojo yako kurun?

Halafu nani kakwambia mwanafunzi wa primary anaweza akasoma Kwa mfumo huo?


Mnunulie mwanao asome kupitia tutorial za you tube kama unadhani ni rahisi
 
Wajinga wenzako watakusifia Kwa ujinga wako

Ikiwa vyuoni Kuna projector na mfumo huo hauwezekani itakuwa mashuleni?

Ikiwa umeme Dsm ni changamoto itakuwa huko mikoani tena ndani ndani? Au projector zitakuwa Zinatumia mikojo yako kurun?

Halafu nani kakwambia mwanafunzi wa primary anaweza akasoma Kwa mfumo huo?


Mnunulie mwanao asome kupitia tutorial za you tube kama unadhani ni rahisi
Ndio maendeleo mkuu, maendeleo ya kiteknolojia, watawekewa hata solar.
 
Wajinga wenzako watakusifia Kwa ujinga wako

Ikiwa vyuoni Kuna projector na mfumo huo hauwezekani itakuwa mashuleni?

Ikiwa umeme Dsm ni changamoto itakuwa huko mikoani tena ndani ndani? Au projector zitakuwa Zinatumia mikojo yako kurun?

Halafu nani kakwambia mwanafunzi wa primary anaweza akasoma Kwa mfumo huo?


Mnunulie mwanao asome kupitia tutorial za you tube kama unadhani ni rahisi
Unafahamu nini kuhusu ‘Solar power’?
 
Sio haiwezekani ni mpaka hapo siasa zitajitegemea na mambo ya msingi yakajiendesha kwa weledi na mifumo mizuri nje ya siasa.
 
Naongeza jambo.
Zile rim wanazopelekagga shule ziwe zinatumika kuchapisha notes kupunguza mzigi kwa wanfunzi na walimu kuandikaa, kuchafuka na ,na kichapana chapana na kukosa muda sababu ya notes .
Chapisha topic , gawa Kwa wanfunzi, fundisha .
Watunzaji , na wanafunzi makini ndio watakao okoka ,
Kama utapoteza , utawajibuka Kwa gharama kuzitafuta .
#Hizo chaki ,ubao, ni kuumizana tu macho.


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.

==========================

Update: 08/02/2024
Wazo limefanyiwa kazi vizuri kabisa.
View attachment 2898258
Hivi ni vichekesho
 
Video itakuwa very comprehensive, itakuwa na section ya ‘FAQ’ (Frequently Asked Questions), yaani yale maswali ambayo from experience huwa yanaukizwa sana na wanafunzi, yanajibiwa humo humo kama sehemu ya kipindi. Pia Tablet itafungwa na ‘app’ inaitwa ‘Chat GPT’, hii ni artificial intelligence na ni bure kabisa. Inaweza kujibu kuliko binadamu. Download hiyo app uone maajabu.

Besides ni bora hii angalau anafundishwa comprehensively, sasa mwalimu ambaye haingii kabisa darasani atamuuliza hilo swali wakati hata darasani haingii?

watanzania wanachukia na kuogopa technologia wanataka walimu vilaza waendelee kuwa jaza ujinga wanafunzi
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.

==========================

Update: 08/02/2024
Wazo limefanyiwa kazi vizuri kabisa.
View attachment 2898258
We jweli kiazi,shule zinyewe watoto wanakaa chini na vyoo hakuna,
Itakuwa PROJECTOR kweli
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.

==========================

Update: 08/02/2024
Wazo limefanyiwa kazi vizuri kabisa.
View attachment 2898258
Mjinga wewe
Kwahyo ndugu Yako akiwa hajui hesabu ina maanisha wote wanamfanana?
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.

==========================

Update: 08/02/2024
Wazo limefanyiwa kazi vizuri kabisa.
View attachment 2898258
Tatizo la watu mliokuzwa na katuni huwa mnajikuta mnajuua kumbe mmejaza ujinga kichwani.

Binadamu sio mbwa,mwalimu ana kazi kubwa zaidi ya hiyo ya kufundisha trigonometry.
 
Back
Top Bottom