Napendekeza sherehe za kidini zisizofahamika tarehe zisiwe za kitaifa na Serikali isizitambue

Napendekeza sherehe za kidini zisizofahamika tarehe zisiwe za kitaifa na Serikali isizitambue

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Sherehe yeyote ya kidini ambayo inatambulika kwamba ni sikukuu na serikali inaitambua basi inapaswa tarehe yake tuifahamu.

Hii itasaidia serikali kupanga ratiba zake ku-accomodate shughuli husika kwa siku husika. Hii uncertainity inasababisha bughudha kubwa sana hata kwa wasio husika, vipi na wahindi nao wakija na sherehe zao zisizo na tarehe maalum na kuanza kutupagawisha na uncertainities hivyo hovyo, itakuwaje?

==========================
Update: 22/04/2023

 
Mkuu acha wivu sikukuu za waislamu tangu mwanzo wake mpaka kusimama qiyamah zitategemea muandamo wa mwezi na hii ni kwa hekma kubwa, hakuna atakayeweza kubadilisha na hamjalazimishwa kuzifanya za kitaifa mkitaka lazimisheni watu kwenda makazini na watafanya ibada asubuhi kisha wataenda wala hakuna tabu.

Ila serikali ina watu makini hawafanyi maamuzi ya kukurupuka kama hayo.
 
Mkuu acha wivu sikukuu za waislamu tangu mwanzo wake mpaka kusimama qiyamah zitategemea muandamo wa mwezi na hii ni kwa hekma kubwa, hakuna atakayeweza kubadilisha na hamjalazimishwa kuzifanya za kitaifa mkitaka lazimisheni watu kwenda makazini na watafanya ibada asubuhi kisha wataenda wala hakuna tabu.

Ila serikali ina watu makini hawafanyi maamuzi ya kukurupuka kama hayo.
Ni sawa, ila mmejuaje kwamba ni Jumamosi? Mmeuona wapi mwezi?
 
Mkuu japo umeandika kama unakimbizwa ila kuna sehemu umesema inaleta bughudha kwa wasio husika..

Swali: Unaanza je kupata bughudha kwa jambo usilohusika?

Lesson: Mind your business unless anything involves you directly - just stay out of it;
 
Mkuu japo umeandika kama unakimbizwa ila kuna sehemu umesema inaleta bughuza kwa wasio husika..

Swali: Unaanza je kupata bughuza kwa jambo usilohusika?

Lesson: Mind your business unless anything involves you directly - just stay out of it;
Ofisi nyingi kama si zote za serikali ambazo mimi kama raia nisiyehusika na sherehe husika nashindwa kujua kama nitapata huduma siku flani au sitopata..., hivyo kuna kuwa na mvurugano mkubwa sana..
 
Mkuu acha wivu sikukuu za waislamu tangu mwanzo wake mpaka kusimama qiyamah zitategemea muandamo wa mwezi na hii ni kwa hekma kubwa, hakuna atakayeweza kubadilisha na hamjalazimishwa kuzifanya za kitaifa mkitaka lazimisheni watu kwenda makazini na watafanya ibada asubuhi kisha wataenda wala hakuna tabu.

Ila serikali ina watu makini hawafanyi maamuzi ya kukurupuka kama hayo.
Ujinga mtupu mpaka kiyama mnategemea mwezi? Huyo Mungu wenu hajui siku wala muda mpaka ategemee mwezi?.

Si mseme tu Mungu wenu ni Alama ya mwezi yaan JINI la kike lililoabudiwa na waarabu&warumi wa kale.

Ktk imani za ushirikina Alama ya mwezi inahusiana na ibada ya ushetan wa hali ya juu haya mambo wanayajua mashekhe wenu, ni vile vifuasi vya level za chini hamjui na hamuwezi kuambiwa mnachokiabudu the same kwa wakristo wanaoabudu kwa kuweka alama za msalaba, ju, sanamu la yesu wa mchongo na kuabudu siku za jumamosi, jumapili, ninyi nyote mnaabudu mizimu ya wazungu.

Mtu kwa akili zako timamu unaanzaje kutegemea mienendo ya imani yako itegemee mkao/muonekano wa mwezi kama sio ushirikina.

Hizi dini za kuletewa zimewaharibu akili
 
Sherehe yeyote ya kidini ambayo inatambulika kwamba ni sikukuu na serikali inaitambua basi inapaswa tarehe yake tuifahamu.

Hii itasaidia serikali kupanga ratiba zake ku-accomodate shughuli husika kwa siku husika. Hii uncertainity inasababisha bughudha kubwa sana hata kwa wasio husika, vipi na wahindi nao wakija na sherehe zao zisizo na tarehe maalum na kuanza kutupagawisha na uncertainities hivyo hovyo, itakuwaje?
Miye nilijua Leo napumzika naunganishia na weekend holaaa
 
Ujinga mtupu mpaka kiyama mnategemea mwezi? Huyo Mungu wenu hajui siku wala muda mpaka ategemee mwezi?.

Si mseme tu Mungu wenu ni Alama ya mwezi yaan JINI la kike lililoabudiwa na waarabu&warumi wa kale.

Ktk imani za ushirikina Alama ya mwezi inahusiana na ibada ya ushetan wa hali ya juu haya mambo wanayajua mashekhe wenu, ni vile vifuasi vya level za chini hamjui na hamuwezi kuambiwa mnachokiabudu the same kwa wakristo wanaoabudu kwa kuweka alama za msalaba, ju, sanamu la yesu wa mchongo na kuabudu siku za jumamosi, jumapili, ninyi nyote mnaabudu mizimu ya wazungu.

Mtu kwa akili zako timamu unaanzaje kutegemea mienendo ya imani yako itegemee mkao/muonekano wa mwezi kama sio ushirikina.

Hizi dini za kuletewa zimewaharibu akili
Ahahaaahaaaaa
 
Mabishano ya kimantiki katika dini huwa hayapati mwafaka. Ni bora kuyaacha yalivyo.
 
Sherehe yeyote ya kidini ambayo inatambulika kwamba ni sikukuu na serikali inaitambua basi inapaswa tarehe yake tuifahamu.

Hii itasaidia serikali kupanga ratiba zake ku-accomodate shughuli husika kwa siku husika. Hii uncertainity inasababisha bughudha kubwa sana hata kwa wasio husika, vipi na wahindi nao wakija na sherehe zao zisizo na tarehe maalum na kuanza kutupagawisha na uncertainities hivyo hovyo, itakuwaje?
Ndo maana wewe ni dereva wa magari ya wanaume wenzako tu na utakufa maskini ukazikwe porini kwa sababu ya Chuki zako hata hivyo jionee huruma wewe kuwa Sukuma Gang kibaya zaidi ulishindwa kuzikwa na ule mzimu kama vipi mfuate huko alipo
 
Ujinga mtupu mpaka kiyama mnategemea mwezi? Huyo Mungu wenu hajui siku wala muda mpaka ategemee mwezi?.

Si mseme tu Mungu wenu ni Alama ya mwezi yaan JINI la kike lililoabudiwa na waarabu&warumi wa kale.

Ktk imani za ushirikina Alama ya mwezi inahusiana na ibada ya ushetan wa hali ya juu haya mambo wanayajua mashekhe wenu, ni vile vifuasi vya level za chini hamjui na hamuwezi kuambiwa mnachokiabudu the same kwa wakristo wanaoabudu kwa kuweka alama za msalaba, ju, sanamu la yesu wa mchongo na kuabudu siku za jumamosi, jumapili, ninyi nyote mnaabudu mizimu ya wazungu.

Mtu kwa akili zako timamu unaanzaje kutegemea mienendo ya imani yako itegemee mkao/muonekano wa mwezi kama sio ushirikina.

Hizi dini za kuletewa zimewaharibu akili
UNAKIBURI CHA UZIMA,SI BURE
 
Ujinga mtupu mpaka kiyama mnategemea mwezi? Huyo Mungu wenu hajui siku wala muda mpaka ategemee mwezi?.

Si mseme tu Mungu wenu ni Alama ya mwezi yaan JINI la kike lililoabudiwa na waarabu&warumi wa kale.

Ktk imani za ushirikina Alama ya mwezi inahusiana na ibada ya ushetan wa hali ya juu haya mambo wanayajua mashekhe wenu, ni vile vifuasi vya level za chini hamjui na hamuwezi kuambiwa mnachokiabudu the same kwa wakristo wanaoabudu kwa kuweka alama za msalaba, ju, sanamu la yesu wa mchongo na kuabudu siku za jumamosi, jumapili, ninyi nyote mnaabudu mizimu ya wazungu.

Mtu kwa akili zako timamu unaanzaje kutegemea mienendo ya imani yako itegemee mkao/muonekano wa mwezi kama sio ushirikina.

Hizi dini za kuletewa zimewaharibu akili
Unlmejipinda kuandika makamasi [emoji38][emoji38]...... Sikia mkuu Eid ni jumamos kesho nenda kazini swala la waislam na mambo Yao waachie wenyewe, sikukuu kwako ni favour tu upumzike Kam ilivyo pasaka kwao.
 
Mkuu acha wivu sikukuu za waislamu tangu mwanzo wake mpaka kusimama qiyamah zitategemea muandamo wa mwezi na hii ni kwa hekma kubwa, hakuna atakayeweza kubadilisha na hamjalazimishwa kuzifanya za kitaifa mkitaka lazimisheni watu kwenda makazini na watafanya ibada asubuhi kisha wataenda wala hakuna tabu.

Ila serikali ina watu makini hawafanyi maamuzi ya kukurupuka kama hayo.
Kwanini msiwe na kalenda? Mnatuvuruga Sana, mara Uganda na Kenya ni leo Ijumaa na nyie ni Jumamosi! Huu ni ubabaishaji!
 
Back
Top Bottom