Napendekeza sherehe za kidini zisizofahamika tarehe zisiwe za kitaifa na Serikali isizitambue

Napendekeza sherehe za kidini zisizofahamika tarehe zisiwe za kitaifa na Serikali isizitambue

Sherehe yeyote ya kidini ambayo inatambulika kwamba ni sikukuu na serikali inaitambua basi inapaswa tarehe yake tuifahamu.

Hii itasaidia serikali kupanga ratiba zake ku-accomodate shughuli husika kwa siku husika. Hii uncertainity inasababisha bughudha kubwa sana hata kwa wasio husika, vipi na wahindi nao wakija na sherehe zao zisizo na tarehe maalum na kuanza kutupagawisha na uncertainities hivyo hovyo, itakuwaje?

Hata hapa serikali haijapungukiwa. Kwa uzuri kabisaa ratiba zinaendelea
 
Ndo maana wewe ni dereva wa magari ya wanaume wenzako tu na utakufa maskini ukazikwe porini kwa sababu ya Chuki zako hata hivyo jionee huruma wewe kuwa Sukuma Gang kibaya zaidi ulishindwa kuzikwa na ule mzimu kama vipi mfuate huko alipo
Umepanic

Jibu hoja

Jiwe limetupwa gizani

Jibu hoja acha kufia dini usiyoijua,

Wewe unaifiata dini hiyo kwa kuwa wazazi walikupeleka huko lakini huna hoja

Mwezi ni mmoja tu na Jua ni moja tu

Tanzania mna mwezi wenu?

Dini ya kiarabu, Waarabu wameuona mwezi na majirani zetu Uganda

Tanzania tuna mwezi wetu?
 
kama haikuhusu nenda kazini tu ufanye kazi acha shobo kama ,unaona haikuhusu hamna sehemu umelazimisha ..
 
Ofisi nyingi kama si zote za serikali ambazo mimi kama raia nisiyehusika na sherehe husika nashindwa kujua kama nitapata huduma siku flani au sitopata..., hivyo kuna kuwa na mvurugano mkubwa sana..
Unayo energy kweli ya kuendelea kujibizana na huyo empty set
 
Ujinga mtupu mpaka kiyama mnategemea mwezi? Huyo Mungu wenu hajui siku wala muda mpaka ategemee mwezi?.

Si mseme tu Mungu wenu ni Alama ya mwezi yaan JINI la kike lililoabudiwa na waarabu&warumi wa kale.

Ktk imani za ushirikina Alama ya mwezi inahusiana na ibada ya ushetan wa hali ya juu haya mambo wanayajua mashekhe wenu, ni vile vifuasi vya level za chini hamjui na hamuwezi kuambiwa mnachokiabudu the same kwa wakristo wanaoabudu kwa kuweka alama za msalaba, ju, sanamu la yesu wa mchongo na kuabudu siku za jumamosi, jumapili, ninyi nyote mnaabudu mizimu ya wazungu.

Mtu kwa akili zako timamu unaanzaje kutegemea mienendo ya imani yako itegemee mkao/muonekano wa mwezi kama sio ushirikina.

Hizi dini za kuletewa zimewaharibu akili
Kutegemea mwezi sijui ukaeje ndio ufanye nini ni sawa na zile imani za ajabu za Wa Aztec walioabudu Mungu jua, walitoa wenzao kafara eti jua lipate damu ili liweze kuwaka. Ndio ujinga kama huu wa mwezi. Symbolism hizi ni kama za waganga wa kienyeji, eti lete kuku mwekundu, Kwani akiwa mweupe inakuwaje?
 
Qur,an: 3:118.
.....ZIMEDHIHIRIKA CHUKI KATIKA MANENO YAO NA YALIYOMO KATIKA VIFUA VYAO NI MAKUBWA ZAIDI NA MAZITO....
Basi wacha tutimize maandiko ya hicho kitabu, means si inabidi maandiko yatimie , sivyo? Maana mkipewa hoja mnakimbilia kuleta aya zisizo hata eleweka zinaeleza nini
 
Kwahiyo wanaposema ni Jumamosi ni kwa kigezo kipi? Si inabidi wauone mwezi ndio watangaze siku flani au?
Umeeleweshwa vizuri naona hutaki tu kuelewa, hivi vitu ni aidha unaachana navyo kwa kua sio imani yako ama visome kwa faida yako mwenyewe ili kuzuia mada za kukera kama hizi, sijui kwann sikukuu za Waislam hua zinawakera pamoja na mwezi wake wa Ramadhani, kitu ambacho hukifatilii wewe ukakereka nacho nini kama sio matumizi mabaya ya chuki,

Ilipaswa Waislam ndio walalamike ajabu kila baada ya ddk 10 wasio waislam wanafungua uzi wa malalamiko [emoji28]
 
Kwahiyo wanaposema ni Jumamosi ni kwa kigezo kipi? Si inabidi wauone mwezi ndio watangaze siku flani au?
Nakujibu sasa usipoelewa na hapa basi ni wazi umetaka mabishano na sio kueleweshwa,

Mwezi/Kalenda ya kiislam ina siku 29 au 30 basi, tukija kwenye suala la mfungo, ikifika siku ya 29 hua unaangaliwa mwezi kama umeandama basi siku inayofata itakua mwezi mwingine(tarehe 1) na kama haujaandama itakamilisha siku 30 na siku inayofata haijalishi mwezi uonekane ama usionekane itakua tarehe 1,

Wamejuaje kama Jumamosi ni Eid? Sababu wao hawakuuona Mwezi jana ambayo ilikua 29, basi leo wamekamilisha siku ya 30 kwa maana hiyo jumamosi mwezi uonekane/usionekane itakua tarehe 1 kwa maana ya sikukuu,

Naimani umepata mwanga.
 
Umepanic

Jibu hoja

Jiwe limetupwa gizani

Jibu hoja acha kufia dini usiyoijua,

Wewe unaifiata dini hiyo kwa kuwa wazazi walikupeleka huko lakini huna hoja

Mwezi ni mmoja tu na Jua ni moja tu

Tanzania mna mwezi wenu?

Dini ya kiarabu, Waarabu wameuona mwezi na majirani zetu Uganda

Tanzania tuna mwezi wetu?
Unavosema dini ya waarabu unajichanganya kwasbb hao warabu wameuona mwezi huku sisi hatujauona tunaendelea na swaum. Kama ni ya warabu wote tungefata warabu.

Ingekua kama zile dini za kizungu tu kwao ikiwa siku flan nd sikukuu na sisi tunawafata.

Me nashangaa sana kwann sikukuu zetu zinawakera sana wkt haziwahusu mbn sisi za kwenu hatuongei kitu
 
Nakujibu sasa usipoelewa na hapa basi ni wazi umetaka mabishano na sio kueleweshwa,

Mwezi/Kalenda ya kiislam ina siku 29 au 30 basi, tukija kwenye suala la mfungo, ikifika siku ya 29 hua unaangaliwa mwezi kama umeandama basi siku inayofata itakua mwezi mwingine(tarehe 1) na kama haujaandama itakamilisha siku 30 na siku inayofata haijalishi mwezi uonekane ama usionekane itakua tarehe 1,

Wamejuaje kama Jumamosi ni Eid? Sababu wao hawakuuona Mwezi jana ambayo ilikua 29, basi leo wamekamilisha siku ya 30 kwa maana hiyo jumamosi mwezi uonekane/usionekane itakua tarehe 1 kwa maana ya sikukuu,

Naimani umepata mwanga.
Hatakuelewa kwa sababu ameamua kutokuelewa na ni furaha kwake kuona mnatype maneno mengi.

Mwambieni aache uvivu aamke aende kazini muda wa kureport ni saa moja na nusu asubuhi asije pewa barua na boss wake.
 
Umeeleweshwa vizuri naona hutaki tu kuelewa, hivi vitu ni aidha unaachana navyo kwa kua sio imani yako ama visome kwa faida yako mwenyewe ili kuzuia mada za kukera kama hizi, sijui kwann sikukuu za Waislam hua zinawakera pamoja na mwezi wake wa Ramadhani, kitu ambacho hukifatilii wewe ukakereka nacho nini kama sio matumizi mabaya ya chuki,

Ilipaswa Waislam ndio walalamike ajabu kila baada ya ddk 10 wasio waislam wanafungua uzi wa malalamiko [emoji28]
Utasemaje sihusiki nacho wakati ofisi za seriakali ambapo mimi kama raia napaswa kuhudumiwq zinakuwa na kigugumizi juu ya kama zitafungwa au zitakuwa wazi? Hapo watu wanashindwa kupangiloa na ku-coordinate utendaji kazi
 
Nakujibu sasa usipoelewa na hapa basi ni wazi umetaka mabishano na sio kueleweshwa,

Mwezi/Kalenda ya kiislam ina siku 29 au 30 basi, tukija kwenye suala la mfungo, ikifika siku ya 29 hua unaangaliwa mwezi kama umeandama basi siku inayofata itakua mwezi mwingine(tarehe 1) na kama haujaandama itakamilisha siku 30 na siku inayofata haijalishi mwezi uonekane ama usionekane itakua tarehe 1,

Wamejuaje kama Jumamosi ni Eid? Sababu wao hawakuuona Mwezi jana ambayo ilikua 29, basi leo wamekamilisha siku ya 30 kwa maana hiyo jumamosi mwezi uonekane/usionekane itakua tarehe 1 kwa maana ya sikukuu,

Naimani umepata mwanga.
Sasa kama kufungulia inawezekana pasi na kuuona mwezi, ni kwanini basi isiwekwe tarehe maalum ya sikukuu ya Eid na ikaingizwa kwenye Calendar rasmi ya serikali ili kuondoa kero na usimbufu kwenye ofisi za serikali kwa watu wasiohusika na imani hiyo ya kuabudu mwezi?
 
 
Back
Top Bottom