Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Dah mkuu utanimalizia nyama zangu tumboni bila sababu za msingi, ni hivi wao wametangaza jumamosi kwasababu wanakamilisha siku 30 hilo halihusiki na kuona mwezi tena.Kwahiyo wanaposema ni Jumamosi ni kwa kigezo kipi? Si inabidi wauone mwezi ndio watangaze siku flani au?