Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.
Tulinde maadili yetu.
Pia soma=>
~ Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
~ Watanzania wamefungiwa internet
Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.
Tulinde maadili yetu.
Pia soma=>
~ Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
~ Watanzania wamefungiwa internet