mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
Inakula MB mno majobless tunakaa nayo mbali.
Sema ndo hivyo mkuu, tiktok ni mtandao wa kipuuzi.
Ikumbukwe tiktok ilianza kama mtandao wa maudhui mafupi(sio zaidi ya dk 1), sasa haiwezekani kutengeneza maudhui ya ubora mkubwa yenye urefu wa dk 1 tu....
Video fupi zinatengenezwa kwa ajili ya kukuburudisha tu na si vinginevyo, mtumiaji wa tiktok anajua video ni fupi kwahiyo anascroll haraka, ukitaka kukamata umakini wake inabidi ufanye mambo ya ajabu ajabu.
Na pia huwezi weka taarifa nyingi kwenye video fupi kwahiyo njia nyepesi ni kutengeneza maudhui marahisi yenye mzaha mzaha ama kuchekesha.
Kwahiyo tiktok ikawa sehemu ya utani utani tu, japo wanajitahidi kuongeza urefu wa video ila ulivoanza na unavozoeleka.
Sema ndo hivyo mkuu, tiktok ni mtandao wa kipuuzi.
Ikumbukwe tiktok ilianza kama mtandao wa maudhui mafupi(sio zaidi ya dk 1), sasa haiwezekani kutengeneza maudhui ya ubora mkubwa yenye urefu wa dk 1 tu....
Video fupi zinatengenezwa kwa ajili ya kukuburudisha tu na si vinginevyo, mtumiaji wa tiktok anajua video ni fupi kwahiyo anascroll haraka, ukitaka kukamata umakini wake inabidi ufanye mambo ya ajabu ajabu.
Na pia huwezi weka taarifa nyingi kwenye video fupi kwahiyo njia nyepesi ni kutengeneza maudhui marahisi yenye mzaha mzaha ama kuchekesha.
Kwahiyo tiktok ikawa sehemu ya utani utani tu, japo wanajitahidi kuongeza urefu wa video ila ulivoanza na unavozoeleka.