Pre GE2025 Napendekeza Tanzania iufunge Mtandao wa TikTok

Pre GE2025 Napendekeza Tanzania iufunge Mtandao wa TikTok

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TikTok imetajirisha watu.wewe bwege unaenda kuangalia matako hasara nikwako nabando lako.

halafu akili hujajaaliwa TikTok hela nnjennje naelimu kibao Sasa hiki kibakuli chenu jf sijui ushawahi kusikia kimempa nani hela

kweli wabongo wengi akili sifuri unataka TikTok ifungiwe?wee kweli kiazi

hiihoja Yako ipeleke kwakina ndaro,mwaisa,cheaf God love,tx dula Subaru,Leonardo,tengetenge,zamzam,niffa nawengineo akiwepo mimi uone tusipo kuzaba makofi nyau wewe
 
Inakula MB mno majobless tunakaa nayo mbali.

Sema ndo hivyo mkuu, tiktok ni mtandao wa kipuuzi.

Ikumbukwe tiktok ilianza kama mtandao wa maudhui mafupi(sio zaidi ya dk 1), sasa haiwezekani kutengeneza maudhui ya ubora mkubwa yenye urefu wa dk 1 tu....

Video fupi zinatengenezwa kwa ajili ya kukuburudisha tu na si vinginevyo, mtumiaji wa tiktok anajua video ni fupi kwahiyo anascroll haraka, ukitaka kukamata umakini wake inabidi ufanye mambo ya ajabu ajabu.

Na pia huwezi weka taarifa nyingi kwenye video fupi kwahiyo njia nyepesi ni kutengeneza maudhui marahisi yenye mzaha mzaha ama kuchekesha.

Kwahiyo tiktok ikawa sehemu ya utani utani tu, japo wanajitahidi kuongeza urefu wa video ila ulivoanza na unavozoeleka.
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
 
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
tafiti zinaonesha tiktok inatumika zaidi na gen z mkuu, wanapost upuuzi

sawa kutakuwa na vya maana ila sio kama facebook na youtube huko, ambapo pametulia zaidi....
 
Watumiaji wengi wa TikTok hawana maadili. Badala ya kumfungia mtu mmoja mmoja, ni afadhali wakafungia mtandao, hadi pale elimu itakapotolewa kuhusu matumizi ya mtandao huo.

Binafsi sina account ya mtandao lakini kwa video zinazotumwa kwenye mitandao mingine kutoka kwa watumiaji wake; inaonesha wazi watumiaji mtandao huo wanautumia isivyo sawasawa.

Tulinde maadili yetu.

Pia soma=> Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X
Acha ujinga kiungo cha uzazi cha kike wewe......pia wewe ni sehemu ya kutolea uchafu wa mwili wa binadamu

Sasa kisa ww umechoka kukaa tik tok au huna account ndo wafunge mtandao basi nenda facebook
 
Tatizo siyo mtandao. Ni matumizi. Utafungia mitandao mingapi. Majuzi nimesikia wanataka kufungia Twitter (X). Huwa sielewi ni maamuzi ya namna gani. Wengine tunafanya mambo halali mtandaoni ambayo kuwa na account ya X ni added advantage.
Screenshot_20240724_090702_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom